Simba SC Msimu ujao wa Dirisha la Usajili tusiuingie tena huu Mtego mkubwa na wa Akili wa Yanga SC sawa?

Yanga SC ni Wajanja na wana akili sana kwani kwa Miaka hii Miwili kila Kipindi cha Usajili kikifika tu Wanajifanya Kutangaza kumtaka Mchezaji fulani na Simba SC kwa Upumbavu wetu (narudia tena kwa Msisitizo kabisa kwa Upumbavu wetu) tunaingia Mkenge na Kukurupuka kuwahi Kumsajili huyo Mchezaji huku Yanga SC 'Waliotujambisha' wanaenda Kumsajili Mchezaji mzuri waliyetuficha na hata hawakumtangaza na Matokeo yake Wachezaji wao Wote Waliowasajili ni Wazuri, wa uhakika, hatari na wameshaingia katika Mfumo.

W akati huku Kwetu ( Simba SC ) aliyetuonyesha Uwezo ni Beki tu Chemalone huku Wengine wakiishia tu Kutusukia Mirasta yao na Kuvaa Mihereni na Mwingine Aubin Kramo akilalamika Kulogwa Kende ( Pumbu ) zake kila Kocha akimpanga katika Mechi.

Msimu ujao Dirisha la Usajili likifika Simba SC tuacheni kukubali 'Kujambishwa' na hawa Yanga SC kisha Kukurupuka Kuwasajili Wachezaji waliowataka Kiuwongo Uwongo ( Kujambisha)

Kisha Wao wanaenda Kuwasajili wale Mahiri 'Waliowapointi' wao kisha wanakuja Kuunganika na Mafundi waliowakuta na Timu zinaanza kula Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na wana Simba SC tunabaki Kusonya tu huku tukidai kuwa Yanga SC wanacheza na Timu dhaifu ( nyepesi ) na sijui Wanazihonga wakati hata Sisi kule Tanga katika Fainali ya Community Shield muda wote walikuwa Wanatuhemea tu hadi Wengine kila mara Kubana Kende ( Pumbu ) zetu Miguuni ili tusifungwe ns Shukran nyingi ziende kwa Mganga wetu tuliyetafutiwa na Kocha ( sasa Mkurugenzi wa Soka la Vijana Simba SC ) Juma Mgunda kwani kwa hali ilivyokuwa Siku ile hata Sisi ( Simba SC ) tulikuwa tunaenda Kula ( Kufungwa ) hizi hizi Tano Tano ( Hamsa Hamsa ) wanazokula Wenzetu kwa sasa.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu Ok?
Na ole wake nisikie mtu akim refer GENTAMYCINE kama popoma.

CC:
Ngalikihinja
 
Yanga SC ni Wajanja na wana akili sana kwani kwa Miaka hii Miwili kila Kipindi cha Usajili kikifika tu Wanajifanya Kutangaza kumtaka Mchezaji fulani na Simba SC kwa Upumbavu wetu (narudia tena kwa Msisitizo kabisa kwa Upumbavu wetu) tunaingia Mkenge na Kukurupuka kuwahi Kumsajili huyo Mchezaji huku Yanga SC 'Waliotujambisha' wanaenda Kumsajili Mchezaji mzuri waliyetuficha na hata hawakumtangaza na Matokeo yake Wachezaji wao Wote Waliowasajili ni Wazuri, wa uhakika, hatari na wameshaingia katika Mfumo.

W akati huku Kwetu ( Simba SC ) aliyetuonyesha Uwezo ni Beki tu Chemalone huku Wengine wakiishia tu Kutusukia Mirasta yao na Kuvaa Mihereni na Mwingine Aubin Kramo akilalamika Kulogwa Kende ( Pumbu ) zake kila Kocha akimpanga katika Mechi.

Msimu ujao Dirisha la Usajili likifika Simba SC tuacheni kukubali 'Kujambishwa' na hawa Yanga SC kisha Kukurupuka Kuwasajili Wachezaji waliowataka Kiuwongo Uwongo ( Kujambisha)

Kisha Wao wanaenda Kuwasajili wale Mahiri 'Waliowapointi' wao kisha wanakuja Kuunganika na Mafundi waliowakuta na Timu zinaanza kula Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na wana Simba SC tunabaki Kusonya tu huku tukidai kuwa Yanga SC wanacheza na Timu dhaifu ( nyepesi ) na sijui Wanazihonga wakati hata Sisi kule Tanga katika Fainali ya Community Shield muda wote walikuwa Wanatuhemea tu hadi Wengine kila mara Kubana Kende ( Pumbu ) zetu Miguuni ili tusifungwe ns Shukran nyingi ziende kwa Mganga wetu tuliyetafutiwa na Kocha ( sasa Mkurugenzi wa Soka la Vijana Simba SC ) Juma Mgunda kwani kwa hali ilivyokuwa Siku ile hata Sisi ( Simba SC ) tulikuwa tunaenda Kula ( Kufungwa ) hizi hizi Tano Tano ( Hamsa Hamsa ) wanazokula Wenzetu kwa sasa.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu Ok?
Mtani kwa yanga hii kila goti litapigwa na vinywa vyote vitakiri kuwa yanga ndiyo timu Bora afrika ya mashariki na kati. Ngoja kwanza mkatie aibu supercup. Kama kawaida yenu kombe lenu la kufa kiume lipo.
 
Yanga SC ni Wajanja na wana akili sana kwani kwa Miaka hii Miwili kila Kipindi cha Usajili kikifika tu Wanajifanya Kutangaza kumtaka Mchezaji fulani na Simba SC kwa Upumbavu wetu (narudia tena kwa Msisitizo kabisa kwa Upumbavu wetu) tunaingia Mkenge na Kukurupuka kuwahi Kumsajili huyo Mchezaji huku Yanga SC 'Waliotujambisha' wanaenda Kumsajili Mchezaji mzuri waliyetuficha na hata hawakumtangaza na Matokeo yake Wachezaji wao Wote Waliowasajili ni Wazuri, wa uhakika, hatari na wameshaingia katika Mfumo.

W akati huku Kwetu ( Simba SC ) aliyetuonyesha Uwezo ni Beki tu Chemalone huku Wengine wakiishia tu Kutusukia Mirasta yao na Kuvaa Mihereni na Mwingine Aubin Kramo akilalamika Kulogwa Kende ( Pumbu ) zake kila Kocha akimpanga katika Mechi.

Msimu ujao Dirisha la Usajili likifika Simba SC tuacheni kukubali 'Kujambishwa' na hawa Yanga SC kisha Kukurupuka Kuwasajili Wachezaji waliowataka Kiuwongo Uwongo ( Kujambisha)

Kisha Wao wanaenda Kuwasajili wale Mahiri 'Waliowapointi' wao kisha wanakuja Kuunganika na Mafundi waliowakuta na Timu zinaanza kula Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na wana Simba SC tunabaki Kusonya tu huku tukidai kuwa Yanga SC wanacheza na Timu dhaifu ( nyepesi ) na sijui Wanazihonga wakati hata Sisi kule Tanga katika Fainali ya Community Shield muda wote walikuwa Wanatuhemea tu hadi Wengine kila mara Kubana Kende ( Pumbu ) zetu Miguuni ili tusifungwe ns Shukran nyingi ziende kwa Mganga wetu tuliyetafutiwa na Kocha ( sasa Mkurugenzi wa Soka la Vijana Simba SC ) Juma Mgunda kwani kwa hali ilivyokuwa Siku ile hata Sisi ( Simba SC ) tulikuwa tunaenda Kula ( Kufungwa ) hizi hizi Tano Tano ( Hamsa Hamsa ) wanazokula Wenzetu kwa sasa.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu Ok?
Aahaaaaaaa
 
Yanga SC ni Wajanja na wana akili sana kwani kwa Miaka hii Miwili kila Kipindi cha Usajili kikifika tu Wanajifanya Kutangaza kumtaka Mchezaji fulani na Simba SC kwa Upumbavu wetu (narudia tena kwa Msisitizo kabisa kwa Upumbavu wetu) tunaingia Mkenge na Kukurupuka kuwahi Kumsajili huyo Mchezaji huku Yanga SC 'Waliotujambisha' wanaenda Kumsajili Mchezaji mzuri waliyetuficha na hata hawakumtangaza na Matokeo yake Wachezaji wao Wote Waliowasajili ni Wazuri, wa uhakika, hatari na wameshaingia katika Mfumo.

W akati huku Kwetu ( Simba SC ) aliyetuonyesha Uwezo ni Beki tu Chemalone huku Wengine wakiishia tu Kutusukia Mirasta yao na Kuvaa Mihereni na Mwingine Aubin Kramo akilalamika Kulogwa Kende ( Pumbu ) zake kila Kocha akimpanga katika Mechi.

Msimu ujao Dirisha la Usajili likifika Simba SC tuacheni kukubali 'Kujambishwa' na hawa Yanga SC kisha Kukurupuka Kuwasajili Wachezaji waliowataka Kiuwongo Uwongo ( Kujambisha)

Kisha Wao wanaenda Kuwasajili wale Mahiri 'Waliowapointi' wao kisha wanakuja Kuunganika na Mafundi waliowakuta na Timu zinaanza kula Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na wana Simba SC tunabaki Kusonya tu huku tukidai kuwa Yanga SC wanacheza na Timu dhaifu ( nyepesi ) na sijui Wanazihonga wakati hata Sisi kule Tanga katika Fainali ya Community Shield muda wote walikuwa Wanatuhemea tu hadi Wengine kila mara Kubana Kende ( Pumbu ) zetu Miguuni ili tusifungwe ns Shukran nyingi ziende kwa Mganga wetu tuliyetafutiwa na Kocha ( sasa Mkurugenzi wa Soka la Vijana Simba SC ) Juma Mgunda kwani kwa hali ilivyokuwa Siku ile hata Sisi ( Simba SC ) tulikuwa tunaenda Kula ( Kufungwa ) hizi hizi Tano Tano ( Hamsa Hamsa ) wanazokula Wenzetu kwa sasa.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu Ok?
Umri wako na unachoandika vinaenda njia tofauti... ni hayo tu!!
 
kuna tatizo pale Simba kuanzia msemaji wa timu, benchi zima la ufundi, kamati ya usajili wanakula posho za bure tu. Usajili ulifanyika kishabiki na sio kitaalam
Ukiulizwa sababu utasema sababu uto wameshinda goli tano..
Simba imeanza kuwa na mashabiki vichwa maji wengi sana sijui tatizo ni uto au kuna kingine...
 
Naunga mkono Hoja.
Pia Simba tuache tabia ya kusajiri Zilipendwa.

Akina Miquesson wemesha choka mbaya tunawarudisha tena kwanini.

Kamati ya Usajiri iache kusajiri wachezaji waliochoka na kucheza muda mrefu kama akina Fabris Ngoma.

Yanga inasajiri wachezaji wapya na wenye Nguvu, ndio maana wanacheza kwa kasi dakika 90.

Ukiwaangalia Yanga hafungi sana dakika za kwanza kwanza. Wanakuwa Moto dakika za Mwishoni yaani kipindi cha pili.

Azam walifungwa magoli yote mawili kipindi cha pili.
JKT wamekula 4 kipindi cha pili kwakuwa wachezaji ndo kwanza wanaamka na kuendelea kukimbiza kwa kasi ile ile ya kipindi cha kwanza.

Sisi tunawang'ang'ania Wazee akina Boko kucheza dakika 90 huku kijana Kinda Muhammed Musa hata benchi haonekani.

Kwa Yanga hii sioni wa kumzuia kuchukua Ubingwa wa Ligi Msimu huu.
Simba kwa sasa hatuna ubavu hata wa kumfunga Azam.

Hongereni Yanga kwa mikakati mizuri ya Usajiri.
Sisi Simba ngoja tusubiri kumrejesha Piter Banda msimu ujao.
Umeongea kwa uchungu sana.

Pole.
 
Ngoma
Mzamiru
Kanoute...
Ni Aina moja ya wachezaji hawawezi kuforce kwa Kasi.

1.Saido.. until umemuacha anapaswa acheze dk 45 tu,
2.Chama... Umri pia anakuwa bora timu ikiwa na mpira tu.
3.Onana..... ni afadhali na okrah hamna kitu.

Kapombe,Zimbwe wanahitaji kupata mbadala wamechoka Sana... Ndiko limekuwa tatizo la kufungwa.

sisi Simba tunaamini yanga anachezea na timu dhaifu.
kwa pira lileeee. timu ya yanga itaonekana inacheza na timu dhaifu zote. wewe mwenyewe ulichomekwa viwili ila mshukuru refa tu. mana hamsa zilikuwa zaja
 
Yanga SC ni Wajanja na wana akili sana kwani kwa Miaka hii Miwili kila Kipindi cha Usajili kikifika tu Wanajifanya Kutangaza kumtaka Mchezaji fulani na Simba SC kwa Upumbavu wetu (narudia tena kwa Msisitizo kabisa kwa Upumbavu wetu) tunaingia Mkenge na Kukurupuka kuwahi Kumsajili huyo Mchezaji huku Yanga SC 'Waliotujambisha' wanaenda Kumsajili Mchezaji mzuri waliyetuficha na hata hawakumtangaza na Matokeo yake Wachezaji wao Wote Waliowasajili ni Wazuri, wa uhakika, hatari na wameshaingia katika Mfumo.

W akati huku Kwetu ( Simba SC ) aliyetuonyesha Uwezo ni Beki tu Chemalone huku Wengine wakiishia tu Kutusukia Mirasta yao na Kuvaa Mihereni na Mwingine Aubin Kramo akilalamika Kulogwa Kende ( Pumbu ) zake kila Kocha akimpanga katika Mechi.

Msimu ujao Dirisha la Usajili likifika Simba SC tuacheni kukubali 'Kujambishwa' na hawa Yanga SC kisha Kukurupuka Kuwasajili Wachezaji waliowataka Kiuwongo Uwongo ( Kujambisha)

Kisha Wao wanaenda Kuwasajili wale Mahiri 'Waliowapointi' wao kisha wanakuja Kuunganika na Mafundi waliowakuta na Timu zinaanza kula Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na wana Simba SC tunabaki Kusonya tu huku tukidai kuwa Yanga SC wanacheza na Timu dhaifu ( nyepesi ) na sijui Wanazihonga wakati hata Sisi kule Tanga katika Fainali ya Community Shield muda wote walikuwa Wanatuhemea tu hadi Wengine kila mara Kubana Kende ( Pumbu ) zetu Miguuni ili tusifungwe ns Shukran nyingi ziende kwa Mganga wetu tuliyetafutiwa na Kocha ( sasa Mkurugenzi wa Soka la Vijana Simba SC ) Juma Mgunda kwani kwa hali ilivyokuwa Siku ile hata Sisi ( Simba SC ) tulikuwa tunaenda Kula ( Kufungwa ) hizi hizi Tano Tano ( Hamsa Hamsa ) wanazokula Wenzetu kwa sasa.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu Ok?
Mdogo wangu popoma upo?
 
Yanga SC ni Wajanja na wana akili sana kwani kwa Miaka hii Miwili kila Kipindi cha Usajili kikifika tu Wanajifanya Kutangaza kumtaka Mchezaji fulani na Simba SC kwa Upumbavu wetu (narudia tena kwa Msisitizo kabisa kwa Upumbavu wetu) tunaingia Mkenge na Kukurupuka kuwahi Kumsajili huyo Mchezaji huku Yanga SC 'Waliotujambisha' wanaenda Kumsajili Mchezaji mzuri waliyetuficha na hata hawakumtangaza na Matokeo yake Wachezaji wao Wote Waliowasajili ni Wazuri, wa uhakika, hatari na wameshaingia katika Mfumo.

W akati huku Kwetu ( Simba SC ) aliyetuonyesha Uwezo ni Beki tu Chemalone huku Wengine wakiishia tu Kutusukia Mirasta yao na Kuvaa Mihereni na Mwingine Aubin Kramo akilalamika Kulogwa Kende ( Pumbu ) zake kila Kocha akimpanga katika Mechi.

Msimu ujao Dirisha la Usajili likifika Simba SC tuacheni kukubali 'Kujambishwa' na hawa Yanga SC kisha Kukurupuka Kuwasajili Wachezaji waliowataka Kiuwongo Uwongo ( Kujambisha)

Kisha Wao wanaenda Kuwasajili wale Mahiri 'Waliowapointi' wao kisha wanakuja Kuunganika na Mafundi waliowakuta na Timu zinaanza kula Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na wana Simba SC tunabaki Kusonya tu huku tukidai kuwa Yanga SC wanacheza na Timu dhaifu ( nyepesi ) na sijui Wanazihonga wakati hata Sisi kule Tanga katika Fainali ya Community Shield muda wote walikuwa Wanatuhemea tu hadi Wengine kila mara Kubana Kende ( Pumbu ) zetu Miguuni ili tusifungwe ns Shukran nyingi ziende kwa Mganga wetu tuliyetafutiwa na Kocha ( sasa Mkurugenzi wa Soka la Vijana Simba SC ) Juma Mgunda kwani kwa hali ilivyokuwa Siku ile hata Sisi ( Simba SC ) tulikuwa tunaenda Kula ( Kufungwa ) hizi hizi Tano Tano ( Hamsa Hamsa ) wanazokula Wenzetu kwa sasa.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu Ok?
Jambo wasilolijua Simba ni hilo ulilolisema , Yanga ni wa kuogopa sana wakati wa usajili bila shaka wanatumika na mawakala wa wachezaji kuwapaisha wachezaji wao ili wasajiliwe Simba kwa mtego.
 
Kwanza na msemaji wenu Ahmed Aly ni bogus tu, ni very unprofessional maana uwezi kusimama mbele ya vyombo vya habari unajitapa eti tumewanyanga'nya mchezaji airport,,ni aibu kubwa kwa maana uyo scout mliyemuajiri kazi yake ni nini? Kazi yake ni kukaa airport kusubilia wachezaji wa timu nyingine ili awaibe? Kwanza izo pigo za kunyang'ana wachezaji zilikuwa za kizamani sidhani kama mchezaji anayejitambua na wakala wake asafiri kutoka nchi nyingine bila kuwa na connection yoyote na timu inayomhitaji, ni ngumu sana,,,
Hapa ndipo nilipowaona Simba ni Mazuzu kabisa pamoja na Msemaji wao
 
kuna tatizo pale Simba kuanzia msemaji wa timu, benchi zima la ufundi, kamati ya usajili wanakula posho za bure tu. Usajili ulifanyika kishabiki na sio kitaalam
Simba tatizo ni benchi la ufundi kumwamini Bocco katika mpira huu wa Leo!

Bocco hata akicheza Ihefu ataanzia benchi au asipate namba kabisa
 
Muda ukifika msibadili stori. Nina hakika simba makosa waliyafanya tu kwenda kupiga kambi nje ya nchi bila kocha . Walitumia muda mwingi kusafiri badala ya mazoezi huku wachezaji wakienda kwa mafungumafungu .

Hali hiyo ilipelekea timu kukosa muunganiko na wachezaji kukosa utimamu wa mwili.

Namalizia kwa kusema , Simba ndiye bingwa wa NBC PL kwa mwaka huu.
 
Nimeona neno Pumbavu /upumbavu ,hahahahaha,dah
Ila hii mada hata mimi nimeilewa kwenye usajili Simba huwa inakua na kujiamini sana
 
Back
Top Bottom