NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,361
- 12,901
Nimepita kwenye vijiwe nongwa vya mtaani nakusikiliza mashabiki wa kariakoo (sunche na kapeto) wanavyopiga hesabu za kutoboa robo mpaka fainali Tena hesabu nyepesi kabisa utadhani robo Kuna Namungo, Azam au Mashujaa.
Twende kwenye matazamio ya kiuchambuzi tuchambue timu zitakazokutana na mapacha wa kariakoo (sunche na kapeto)
Hizi ndiyo zinazoweza kukutana nazo baada ya draw ya Robo kufunguliwa.
Simba
1. Al Ahly
2. Mamelody Sundowns
3. Petro Atletico de Luanda
Yanga
1. Asec Mimosas
2. Mamelody Sundown
3. Petro Atletico de Luanda
Al ahly na Mamelody Hawa wanafahamika uwezo wao tuwaweke pembeni kwanza.
Tumuongelee Petro de Luanda na Asec Mimosa Hawa nao new comer baada ya wydad na Raja Casablanca kukaa NJEE.
*Petro de Luanda hii timu ilitinga Robo kwa kishindo kikubwa na ndiyo timu ambayo haijafungwa/haijaruhusu bao katika mechi 6 Petro de Luanda ametoka na clean sheets 6.
Tunapowaongelea Hawa Petro de Luanda ni timu iliyo Moto kabisa katika msimu huu kwa hiyo Hawa mapacha wa kariakoo (sunche na kapeto)
Mashabiki wasibeze na kuzani wanaenda kukutana na mteremko (kitonga)
*Asec Mimosa niliwatazama Asec Mimosa kocha wao anacheza kimkakati hii timu ndiyo inaweza kuwa neema endapo wataheshimiwa na Kama Yanga watakutana nao lolote linaweza kutokea maana hata Asec siyo wanyonge kabisa.
Imeandikwa na NALIA NGWENA
Tuendelee kuziombea timu zetu zipige hatua na taifa letu liheshimike katika nyanja za michezo.
Twende kwenye matazamio ya kiuchambuzi tuchambue timu zitakazokutana na mapacha wa kariakoo (sunche na kapeto)
Hizi ndiyo zinazoweza kukutana nazo baada ya draw ya Robo kufunguliwa.
Simba
1. Al Ahly
2. Mamelody Sundowns
3. Petro Atletico de Luanda
Yanga
1. Asec Mimosas
2. Mamelody Sundown
3. Petro Atletico de Luanda
Al ahly na Mamelody Hawa wanafahamika uwezo wao tuwaweke pembeni kwanza.
Tumuongelee Petro de Luanda na Asec Mimosa Hawa nao new comer baada ya wydad na Raja Casablanca kukaa NJEE.
*Petro de Luanda hii timu ilitinga Robo kwa kishindo kikubwa na ndiyo timu ambayo haijafungwa/haijaruhusu bao katika mechi 6 Petro de Luanda ametoka na clean sheets 6.
Tunapowaongelea Hawa Petro de Luanda ni timu iliyo Moto kabisa katika msimu huu kwa hiyo Hawa mapacha wa kariakoo (sunche na kapeto)
Mashabiki wasibeze na kuzani wanaenda kukutana na mteremko (kitonga)
*Asec Mimosa niliwatazama Asec Mimosa kocha wao anacheza kimkakati hii timu ndiyo inaweza kuwa neema endapo wataheshimiwa na Kama Yanga watakutana nao lolote linaweza kutokea maana hata Asec siyo wanyonge kabisa.
Imeandikwa na NALIA NGWENA
Tuendelee kuziombea timu zetu zipige hatua na taifa letu liheshimike katika nyanja za michezo.