ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,544
Pamoja na kufanya vizuri kwenye champions league bado hofu ya Simba inabaki kwa Yanga kuliko timu yeyote ile, ukweli ndio huo na hili tunaliona haswa kupitia hata washabiki wake huku mitaani.
Tofauti na Yanga, Yanga timu zote zipo kwenye level moja na kupewa heshima sawa na wote ila si kuhofia na ndio kisa hata timu zinazomtesa Simba mfano Tanzania Prison, Ruvu shooting kwa Yanga ni biskuti tu.
Simba wakifikiria hapo na wakikumbuka ya Zanzibar basi ndio kuhangaika tu kwa waganga, akina Manara kuzunguka radio zote mjini hao Yanga akina Nugas wametulia tuli wanasubiri kumsulubu mtu Jumamosi.
NB: Mimi ni mshabiki kindakindaki wa Azam FC isionekane eti kama nina mapenzi upande mmoja hapo ni maono yangu tu juu ya ujio wa mechi hii.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tofauti na Yanga, Yanga timu zote zipo kwenye level moja na kupewa heshima sawa na wote ila si kuhofia na ndio kisa hata timu zinazomtesa Simba mfano Tanzania Prison, Ruvu shooting kwa Yanga ni biskuti tu.
Simba wakifikiria hapo na wakikumbuka ya Zanzibar basi ndio kuhangaika tu kwa waganga, akina Manara kuzunguka radio zote mjini hao Yanga akina Nugas wametulia tuli wanasubiri kumsulubu mtu Jumamosi.
NB: Mimi ni mshabiki kindakindaki wa Azam FC isionekane eti kama nina mapenzi upande mmoja hapo ni maono yangu tu juu ya ujio wa mechi hii.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app