Kama nilivyokwishasema awali katika vichwa vingine Millya ametia nia ya kugombea ubunge Simanjiro. Millya tatizo kubwa ni kwamba hii kesi ni ya siasa. Mashahidi wake ni wanasiasa ambao Sendeka aliwabwaga 2005, kama Ole Kone ambaye aliaibishwa mahakamani kwa kushindwa kujibu maswali aliyoulizwa na wakili, alitoa statements zinazokinzana na kufanya ushahidi wake uonekane ni wa kisasi na haukuwa na ukweli wowote.
Millya kama kwa Elimu aliyopata anadhani kuwa hakuna haja ya kusikiliza wazee wa kimila au basi hata basi Baba Askofu Laizer, anapotoka na anaweza kuanguka vibaya. Millya anakaa kwenye nyumba ya Lowassa -Kwa Iddi (njia ya Nairobi).
Hapa pia amemshambulia Ole Mengi bila sababu yoyote na hii inatia shaka na qaulity ya degree zake!!!
Millya kama kwa Elimu aliyopata anadhani kuwa hakuna haja ya kusikiliza wazee wa kimila au basi hata basi Baba Askofu Laizer, anapotoka na anaweza kuanguka vibaya. Millya anakaa kwenye nyumba ya Lowassa -Kwa Iddi (njia ya Nairobi).
Hapa pia amemshambulia Ole Mengi bila sababu yoyote na hii inatia shaka na qaulity ya degree zake!!!