Jamani yote kwa yote nimeshitushwa na taarifa ya elimu ya mbunge wetu Sendeka....Div-0 ya form six???
Binafsi nimefarijika sana kama aliyosema Milya ni kweli kuwa Sendeka alipata Div-0. Hii ina maana moja tu, the guy is exceptional! kama anaweza kujenga hoja zenye nguvu na kutikisa bunge kiasi kile, kama anaweza kusimamia principle bila ya kuweweseka, kama anaweza kusimamia rasilimali za nchi kwa kiwango anachosimamia na kama anaweza kuongoza kwa kutoa michango bungeni yenye mashiko, then I will go for Sendeka badala ya wapuuzi waliojaa kwenye cabinet na PhD feki.