MadamT unadhani kweli kuna mwanamke ataingia hapa na kusema ameolewa na ashawahi kucheat? i doubt,pamoja na kwamba wanawake walioolewa wana cheat kishenzi,na kwa kuwa mamemba wa mmu wanatoka jamii hii inayotuzunguka ,by implication, wanawake wa mmu walioolewa wengi wao wanacheat pamoja na kujibaraguza kwao.
Mi bana huwa napiga mchana kwenye lunchtime,kisha narudi ofisini,by the time narudi nyumbani (usiku maana napitia Rose garden) nakuwa normal tu nshasahau kila kitu.
by the way umeolewa? usha cheat? hata kama hujaolewa ushawahi kum cheat boyfriend wako? ulijisikiaje baada ya tendo?
jibu swali,ushawahi ku cheat? Ulijisikiaje baada ya kutembea nje?mmmh! kauzu zaidi ya dagaa!!
hii mada ya cheating mi huwa inanimaliza kabisa humu mmu,yaani imegubikwa na full unafiki.Kwani hawa tunaokutana nao mitaani na kwenye magest sio wanawake? Jamani, tusianze kudanganyana hapa. Cheating ipo tena imeota mizizi, kwa wake na waume.
Nilijua tu kuna mtu ataniambia hivyo, ila nikutoe shaka sina hako kampango, ni kwasababu nimegundua kuna baadhi ya watu humu wanahako kamchezo, sasa nilitaka kujua huwa wanafeel vipi, maana sipati picha kabisa...nikitoka kucheat bamsapu wangu nitamuangaliaje na anavyoniamini na iakatokea na yeye akaomba the do pia itakuwaje? na kwa wanaume hali kadhalika!
Nyama ni ileile!. unacheat ili upate laana au!.
ladha ndo huwa tofauti sasa.
visabuni vile navyo vinanukiaga kinoma! Vile ambavyo ni disposable. Usipokuwa makini utaumbuka, full kwenda kuoga ukifika home, hapo utajua tayari kamata mwizi meeen!
Khaaa!
Shemu utanidai 'kiroba' kimoja cha konyagi...lol... Uko mkweli sana...hapa wala usitegemee kupata jibu la kweli... Nakuweka kwenye maombi jioni ya leo!hii mada ya cheating mi huwa inanimaliza kabisa humu mmu,yaani imegubikwa na full unafiki.
Aisee miye ni mama mchungaji, sheria za kanisa zinanikataza kucheat!..hakuna cha ka wala ke hapa,we jibu tu swali la mwanamke mwenzio MadamT,je huwa una cheat? Ukishaliwa nje thereafter unajisikiaje?
hao wana jf uliogundua wana cheat ni wanawake au wanaume?Nilijua tu kuna mtu ataniambia hivyo, ila nikutoe shaka sina hako kampango, ni kwasababu nimegundua kuna baadhi ya watu humu wanahako kamchezo, sasa nilitaka kujua huwa wanafeel vipi, maana sipati picha kabisa...nikitoka kucheat bamsapu wangu nitamuangaliaje na anavyoniamini na iakatokea na yeye akaomba the do pia itakuwaje? na kwa wanaume hali kadhalika!
unadhani huwa mnavua pete mkienda kulambwa? Huwa tunapishana nao Buibui guest house kwenye corridor na pete tunaziona.Sawa..lakini unajuaje kma anacheat?
Hahaha! Hao wanakuwa wameenda kusainishana mikataba ya kazi...unadhani huwa mnavua pete mkienda kulambwa? Huwa tunapishana nao Buibui guest house kwenye corridor na pete tunaziona.
unalamba kwa mdomo!!
la kwanza simwogopi mama Kayai,maweeee!iwe bojo iwe! Hivi siku mkeo akijua id yako hapa jf halafu akakutana na uzi kama huu utamweleza nini?