MadamT we ndo umefungua a can of worms,jibu swali sasa acha kujibaraguza,ushawahi ku cheat?Mama yangu wee, kwa hiyo hizi ofa za outing inabidi kuzianalyse ee.
lakini Mkuu whats a point u demand confessions za wenzio lakini when it comes to you personaly unajitia hamnazo? kuna fair play kweli hapa?wanawake hutafuta sympath, sio kwamba hawacheat, wa maofisini tunaona jamani khaa! Nway watakaa kimya coz hivyo ndo wafanyavyo kujionyesha wao ni unprivilledged innocent creatures. Anaebisha wanawake hawacheat kuliko wanaume aje atoe critical arguments. Wao wakigongwa hurudi mapema kukupikia bwana. Kwa wanaume tunaeleweka we got nothing to hide bana.
MadamT unadhani kweli kuna mwanamke ataingia hapa na kusema ameolewa na ashawahi kucheat? i doubt,pamoja na kwamba wanawake walioolewa wana cheat kishenzi,na kwa kuwa mamemba wa mmu wanatoka jamii hii inayotuzunguka ,by implication, wanawake wa mmu walioolewa wengi wao wanacheat pamoja na kujibaraguza kwao.
Mi bana huwa napiga mchana kwenye lunchtime,kisha narudi ofisini,by the time narudi nyumbani (usiku maana napitia Rose garden) nakuwa normal tu nshasahau kila kitu.
by the way umeolewa? usha cheat? hata kama hujaolewa ushawahi kum cheat boyfriend wako? ulijisikiaje baada ya tendo?
Kwa wale cheaters, hivi jamani siku ya kwanza kucheat especially kwa wenye ndoa, mlijisikiaje au mliwatazamaje wenzi wenu mara mlipo rudi nyumbani?
lakini Mkuu whats a point u demand confessions za wenzio lakini when it comes to you personaly unajitia hamnazo? kuna fair play kweli hapa?
Kwa wale cheaters, hivi jamani siku ya kwanza kucheat especially kwa wenye ndoa, mlijisikiaje au mliwatazamaje wenzi wenu mara mlipo rudi nyumbani?