Kwa wale cheaters, hivi jamani siku ya kwanza kucheat especially kwa wenye ndoa, mlijisikiaje au mliwatazamaje wenzi wenu mara mlipo rudi nyumbani?
Naunganisha sala zangu kwako Mungu akujalie jamani na akuwezeshe!
nimecheki orodha ya mamemba wanawake jf wako 5001,we nimekutik as a non cheater,nawasubiria hao wengine elfu tano waliobaki,leo sibanduki kwe uzi huu mpaka waje.Ukiweza waite basi.Bishanga umejuaje kwamba wanacheat? Halafu maswali gani hayo unaniuliza tena jamani, mi nimeshaolewa, ila sijawahi kucheat kwa husband, ila kwa BF niliwahi, na siku nilyoonana naye baada ya kucheat nilijisikia vibaya na ndio ikawa bye bye nikajihukumu na kumdelete. Halafu usiseme najibaraguza hapo..
jibu bana acha hizo oh wazinzi oh napita longolongo tu hizo,sema Bebii umeolewa? Una cheat? Ukishaliwa huko nje unajisikiaje?mi napita tu naona wazinzi mnapeana moyo hapa
dawa ni kujilia vitu vyako mchana,baadae una toka jasho vizibiti vyote vinatoweka by the time unarudi nyumbani usiku.visabuni vile navyo vinanukiaga kinoma! Vile ambavyo ni disposable. Usipokuwa makini utaumbuka, full kwenda kuoga ukifika home, hapo utajua tayari kamata mwizi meeen!
Bishanga umejuaje kwamba wanacheat? Halafu maswali gani hayo unaniuliza tena jamani, mi nimeshaolewa, ila sijawahi kucheat kwa husband, ila kwa BF niliwahi, na siku nilyoonana naye baada ya kucheat nilijisikia vibaya na ndio ikawa bye bye nikajihukumu na kumdelete. Halafu usiseme najibaraguza hapo..
mi napita tu naona wazinzi mnapeana moyo hapa
Bishanga umejuaje kwamba wanacheat? Halafu maswali gani hayo unaniuliza tena jamani, mi nimeshaolewa, ila sijawahi kucheat kwa husband, ila kwa BF niliwahi, na siku nilyoonana naye baada ya kucheat nilijisikia vibaya na ndio ikawa bye bye nikajihukumu na kumdelete. Halafu usiseme najibaraguza hapo..
Khaaa!dawa ni kujilia vitu vyako mchana,baadae una toka jasho vizibiti vyote vinatoweka by the time unarudi nyumbani usiku.
na usirogwe ukakandamizia kwenye gari unaweza ukasahu kipande cha kitendea kazi humo ikawa soo asubuhi unapompandisha mama Kayai kwenye gari mwende kazini.
Inaonyesha unataka uende kucheat, angalia usije ukachonga mzinga, vidume siku hizi vikikamata mke wa mtu vinajikunja balaa kumfunika mme wa ndoa.