Imenikumbusha kipindi naomba kazi mara ya kwanza baada ya kutoka chuoni,nilisikia mdada aliyekuwa na nafasi hiyo kamfuata mumewe Canada na hana mpango wa kurudi basi taarifa nilizifikisha mimi pamoja na application letter,kilichofuata ni interview na kazi niliichukua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.