mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,894
- 106,186
Wabongo bado ni wabishi, hawasikii. Eneo lishaonesha kuwa na madhara. Wao wanapita tu, hivi hapo gari ikisombwa na maji watailamu serikali.
Siku zote nasemaga madereva wengi sahvi ni viherehere tu. Usalama wowote unaanzia kwake.
Ova
Mshana Jr
FRANCIS DA DON
Extrovert
MamaSamia2025
Siku zote nasemaga madereva wengi sahvi ni viherehere tu. Usalama wowote unaanzia kwake.
Ova
Mshana Jr
FRANCIS DA DON
Extrovert
MamaSamia2025