The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,905
kila siku huwa najiuliza....mbona siku hizi watu hawachungi dada zao?????
yaani sisikii wala kuona watu wakichunga dada zao,,,,,,
na mara nyingi imenitokea nakutana na wasichana mbalimbali
ambao wanafuatana na kaka zao hata out.....
yaani unamtoa msichana out na anakuja na kaka yake ....mnakunywa wote bila tabu.....
au unakuta msichana anakupa no ya simu ya kaka yake
na unapiga halafu kaka yake anakuunganisha kwa dada yake.....
nakumbuka zamani watu walikuwa wakipigana kwa ajili ya dada zao.
siku hizi ni tofauti why??????????
yaani sisikii wala kuona watu wakichunga dada zao,,,,,,
na mara nyingi imenitokea nakutana na wasichana mbalimbali
ambao wanafuatana na kaka zao hata out.....
yaani unamtoa msichana out na anakuja na kaka yake ....mnakunywa wote bila tabu.....
au unakuta msichana anakupa no ya simu ya kaka yake
na unapiga halafu kaka yake anakuunganisha kwa dada yake.....
nakumbuka zamani watu walikuwa wakipigana kwa ajili ya dada zao.
siku hizi ni tofauti why??????????