Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,124
Mungu ameagiza watu wa dini kukemea maovu , sasa kwa bahati mbaya shetani amejikita kwenye siasa , hawezi kuachwa atambe . Utafiti unaonyesha kwamba uhalifu umejaa kwenye siasa kuliko hata kwenye ghetto la wasela !