Sikilizeni CHADEMA hakuna aliewakataza kushiriki katika michezo

We jamaa mbona kama unaniota Hadi usiku?
Una tatizo gani? Huwezi andika kitu bila kunitaja?

Watu wote humu wanao sapoti Dpworld huwaoni?Una obsession na mimi?

ChoiceVariable humuoni?
Lord denning humuoni?

Steven Joel Ntamusano humuoni?

Hao ni waislam?..

Punguza shobo na Mimi ...
Mimi sio jamaa,mimi ni Mtanganyika mzalendo wajinga wajinga wote wanashobokea udini siwapendi wewe ukiwemo.
 
ningeshauri Chadema washiriki huku wakiwa na , mabango ya kupinga bandari na kudai Tanganyika, kitakachotokea kitaifungua Dunia kuwa michezo ya Tanzania inaingiliwa na siasa
 
Sema nchi hii watu ushabiki unawaua sana,
Kuna jamaa angu anasemaga CCM NA CHADEMA wote ni mbwa tu, sasa badala mchambue mada nzuri aliyoleta mtoa mada, niny mshaanza habari za udini, hiv niny mnatumia kamasi kufikiri au
 
Mangi, sera na hoja ya udini walioanzisha ni wapinzani, hususani ChAdeMa. Tena wanapanda na maaskofu na wachungaji majukwaani kwenye siasa.
Hiyo kwamba cdm kina sera za udini ni siasa chafu za CCM, ikidhani itaimaliza cdm. Kizazi chenyewe na kusujidia dini kiko wapi, hadi watu waone Udini ni mtaji wa maana sana?
 
Sema nchi hii watu ushabiki unawaua sana,
Kuna jamaa angu anasemaga CCM NA CHADEMA wote ni mbwa tu, sasa badala mchambue mada nzuri aliyoleta mtoa mada, niny mshaanza habari za udini, hiv niny mnatumia kamasi kufikiri au
Makamasi unatumia wewe unayedandia treni kwa mbele.

Huyo mleta mada tunamjua kuwa yeye ni mdini na hakuanza leo huomchezo.

Wewe kama ni mgeni hapa jukwaani basi ndiyo utakuwa unamtetea huyo mdini mzoefu.
 
Hiyo kwamba cdm kina sera za udini ni siasa chafu za CCM, ikidhani itaimaliza cdm. Kizazi chenyewe na kusujidia dini kiko wapi, hadi watu waone Udini ni mtaji wa maana sana?
Ccm walishafeli kwenye hiyo hoja ya udini maana kizazi cha digital hakina tena mawazo ya zidumu fikra za udini.
 
Hiyo kwamba cdm kina sera za udini ni siasa chafu za CCM, ikidhani itaimaliza cdm. Kizazi chenyewe na kusujidia dini kiko wapi, hadi watu waone Udini ni mtaji wa maana sana?
Kuna vitu vinaonekana dhahiri havihitaji CCM kusema au kuonyesha. CdM imeshindwa kujitenganisha na siasa za udini, ukanda na ukabila.
 
Hiki ndicho haswaa uchotaka kukisema

Na Mbowe,unataka kuwa mwenyekiti hapo chadema hadi umauti ukukute??unaacha legacy ya aina Gani hapo,why wenzako kina Mtei na Bob Makani walithubutu kuachia ngazi Nini unachoshindwa kumtengeneza Mrithi wako??unakuwa kama Mugabe??
 
Hiki ndicho haswaa uchotaka kukisema

Na Mbowe,unataka kuwa mwenyekiti hapo chadema hadi umauti ukukute??unaacha legacy ya aina Gani hapo,why wenzako kina Mtei na Bob Makani walithubutu kuachia ngazi Nini unachoshindwa kumtengeneza Mrithi wako??unakuwa kama Mugabe??
Atawacha legacy ya kweli na iliyotukuka kwa jinsi alivyo watumikia wananchi wa Tanzanian.

Siyo yule mtaka legacy ya kulazimisha huku watumwa wake mkizidi kulazimisha legacy mchongo.
 
Kuna vitu vinaonekana dhahiri havihitaji CCM kusema au kuonyesha. CdM imeshindwa kujitenganisha na siasa za udini, ukanda na ukabila.
Nakuuliza kizazi hiki hakiendekezi dini kwahivyo zaidi ya ngono na pesa, huo mtaji wa dini utoke wapi?
 
Nakuuliza kizazi hiki hakiendekezi dini kwahivyo zaidi ya ngono na pesa, huo mtaji wa dini utoke wapi?
.....hakiendekezi dini lakini bado ni wafuasi wa dini zao. Kilichokosa na mafundisho sahihi ya dini ingawa baadhi wanaendan misikitini au makanisani. Matendo yao hayaakisi mafundisho ya vitabu vya Mwenyezi Mungu.
 
.....hakiendekezi dini lakini bado ni wafuasi wa dini zao. Kilichokosa na mafundisho sahihi ya dini ingawa baadhi wanaendan misikitini au makanisani. Matendo yao hayaakisi mafundisho ya vitabu vya Mwenyezi Mungu.
Sasa hizo propaganda za Udini Udini huo mnazitoa wapi? Hakuna mtu anaendekeza huo upuuzi wenu wa dini. Watu tunajali pesa na sio hizo dini zilizokuja kwa majahazi.

Propaganda za kizee mmaziendekeza hadi leo wakati watu wameshastuka. Badilikeni acheni upuuzi.
 
Back
Top Bottom