Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,086
na watu wanahangaika kweli.....bora mtu ubaki dini yako uliyozaliwa nayo.....
leo atakuwa amepata mitahra yake kbao itakayokubali ujinga aliozungumza.
na watu wanahangaika kweli.....bora mtu ubaki dini yako uliyozaliwa nayo.....
Ivi na wewe sio mmoja wao??kweli Wabongo mmekosa cha kuzungumuzia kila siku suala la Wajenzi huru,hebu nieelezeni kuhusu hao wajenzi Huru katika Dunia ya Leo.
Ivi na wewe sio mmoja wao??
Wazungu wanakili sana wametafuta njia ya kutufanya watanzania tusijitume na kufanikiwa kweli wameweza,. Mi nakataa hamna cha freemason ni upuzi mtupu twendelee kua wavivu
na watu wanahangaika kweli.....bora mtu ubaki dini yako uliyozaliwa nayo.....
Wa hovyo sana huyu.
Kushinda Mwingira na Simbachawene !?
Hapo lilikukera jina la nani ? Maana Mwingira anatuhuma zangono tena kwa wake za watu, na Simbachawote halikadhalika ! Sasa hawa wako mbali na uhuni?Heeey...ally kombo tena na kukurukakara zake.
Hapo lilikukera jina la nani ? Maana Mwingira anatuhuma zangono tena kwa wake za watu, na Simbachawote halikadhalika ! Sasa hawa wako mbali na uhuni?
nitapaa kama tai....kumlaki mawinguni.....
Hujajibu swali langu Preta! Uko tayari? Maana kabla hujapaa kuna hatua ya kwanza. Uko tayari?
Ipi hiyo !?
Hujajibu swali langu Preta! Uko tayari? Maana kabla hujapaa kuna hatua ya kwanza. Uko tayari?
yah...niko tayari....kabla ya kupaa si lazima uchukue kasi.....upite kwanza kwenye running way......then una take off......
Okay nimekupata....Kwahiyo picha zao tu ndizo zinakufurahisha hadi umeamua kuzitumia ila wao huwataki...Lol...kweli We kilazwa,ningekuwa moja nisingejea detail zao mpaka niulize.