Mbona jamaa hayuko consistent?
amejaa upepo sana.....
natamani Yesu arudi kesho tumalize hizi fitna....kila siku hadithi ni hizi hizi.....aaah
amejaa upepo sana.....
natamani Yesu arudi kesho tumalize hizi fitna....kila siku hadithi ni hizi hizi.....aaah
yaani hakuna jitu pumbafu duniani kama hili jamaa linaloongea humo njia panda....mautumbo matupu anaongea...
Jamaa haijui mason. Alichukuliwa msukule huyo halafu anazngzia freemason
Preta, uko tayari?
Mganga njaa tu..hana lolote
nitapaa kama tai....kumlaki mawinguni.....
Anataka watu waende kanisani kwake ili apate hela. Ni ujinga.
Dini imekuwa biashara.
amejaa upepo sana.....
natamani Yesu arudi kesho tumalize hizi fitna....kila siku hadithi ni hizi hizi.....aaah