Sijaona kwa sasa Timu Bora Tanzania kama Yanga SC na Mbovu kama ya Simba SC

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,014
16,750
Kwa mziki huu unaachaje kuipenda Yanga SC kwa mfano.....?

1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Abubakary Salum
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephane Aziz K
11. Bernard Morison

Na hawa ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 na watafika mbali pia huko CAFCL na siyo wale Wengine waliosajili Mbilikimo ( Emolo ) Watupu na Mzibua Vyoo Mmoja wa nchini Serbia.

Mtoeni nisiyempenda nirejee kuwa nanyi, kuwasifu na Kuwapenda ila akiendelea kubakia hapo nitawachukia kila Siku na hata kuanza kutoa Siri zenu za Ndani ambazo mpaka sasa ninazo kama Tatu ( 3 ) hivi na najua Nikiamua Kuzianika mtavurugana na kutatokea Mtafaruku mkubwa mno na huenda hata Tapeli wenu wa B20 akaamua Kuisusa kabisa na Timu yenu.

Kwa sasa bado ninawavutia Pumzi!!!
 
Hii nguvu unayotumia kuikandika simba ungekuwa unatumia kupinga tozo Nina uhakika Mambo yangekuwa poa sn

Nchi hii imekuwa ya hovyo vijana nguvu kazi ya taifa wamejaza milpira vichwani mwao..kila saa mpira mpira mpira!!

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Na Wewe Mpumbavu hii Nguvu kubwa unayoitumia Kunishambulia hapa ungeitumia kupambana na Ujinga pamoja na Umasikini uliokutawala leo usingekuwa mbali Kimaisha na Kiuchumi?
 
Na Wewe Mpumbavu hii Nguvu kubwa unayoitumia Kunishambulia hapa ungeitumia kupambana na Ujinga pamoja na Umasikini uliokutawala leo usingekuwa mbali Kimaisha na Kiuchumi?
Tatizo lako hauna akili..kila muda simba tu hakuna Mambo mengine ya kujadili dogo?
 
Kwa mziki huu unaachaje kuipenda Yanga SC kwa mfano.....?

1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Abubakary Salum
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephane Aziz K
11. Bernard Morison

Na hawa ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 na watafika mbali pia huko CAFCL na siyo wale Wengine waliosajili Mbilikimo ( Emolo ) Watupu na Mzibua Vyoo Mmoja wa nchini Serbia.

Mtoeni nisiyempenda nirejee kuwa nanyi, kuwasifu na Kuwapenda ila akiendelea kubakia hapo nitawachukia kila Siku na hata kuanza kutoa Siri zenu za Ndani ambazo mpaka sasa ninazo kama Tatu ( 3 ) hivi na najua Nikiamua Kuzianika mtavurugana na kutatokea Mtafaruku mkubwa mno na huenda hata Tapeli wenu wa B20 akaamua Kuisusa kabisa na Timu yenu.

Kwa sasa bado ninawavutia Pumzi!!!
Kimwaga udugu unahangaika sana kama kuku aliyekatwa kichwa. Umejificha weee hatimaye umeamua kujifunua.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo kwa hatoipenda Timu Bora ya Yanga SC na ataendelea kuipenda Mbilikimo Fidodido FC ya Tapeli wa B20.
Waliosoma psychology huweza kutambua personality ya mtu hata kwa maandishi yake tu, hii comment haihitaji nguvu sana kujua kuwa wewe ni fukara wa kiuchumi na akili.

Nani anayejitambua ataandika upumbavu huu?
 
Waliosoma psychology huweza kutambua personality ya mtu hata kwa maandishi yake tu, hii comment haihitaji nguvu sana kujua kuwa wewe ni fukara wa kiuchumi na akili.

Nani anayejitambua ataandika upumbavu huu?
Huyu dish limeyumba kitambo sana na anakaribia kuokota makopo
 
Kwa mziki huu unaachaje kuipenda Yanga SC kwa mfano.....?

1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Abubakary Salum
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephane Aziz K
11. Bernard Morison

Na hawa ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 na watafika mbali pia huko CAFCL na siyo wale Wengine waliosajili Mbilikimo ( Emolo ) Watupu na Mzibua Vyoo Mmoja wa nchini Serbia.

Mtoeni nisiyempenda nirejee kuwa nanyi, kuwasifu na Kuwapenda ila akiendelea kubakia hapo nitawachukia kila Siku na hata kuanza kutoa Siri zenu za Ndani ambazo mpaka sasa ninazo kama Tatu ( 3 ) hivi na najua Nikiamua Kuzianika mtavurugana na kutatokea Mtafaruku mkubwa mno na huenda hata Tapeli wenu wa B20 akaamua Kuisusa kabisa na Timu yenu.

Kwa sasa bado ninawavutia Pumzi!!!
😆😆😆😆💥💥💥💥💥💥 Sijui una endeleaje na kikosi chako bora
 
Back
Top Bottom