mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 544
- 1,877
Nimewatazama makolo kwa jicho la kiufundi zaidi na nimegundua bado wana safari ndefu isiyopungua miaka 4 ili kufikia walau nusu ya ubora wasasa wa Yanga SC.
Kila nikiwasikiliza na kuwatazama wanachama na mashabiki wa Mbumbumbu fc wakitokwa na mapavu, nazidi kuelewa ni kwa nini aden rage aliwaita mbumbumbu katika moja ya mikutano yao ya kijuha pale msimbazi.
Kolozidad wengi wanafikiri matokeo ya uwanjani yanaamuliwa na usajili wa wachezaji wazuri pekee, bila kuzingatia mazingira sahihi ya kiutendaji ndani ya klabu ndio yanatakayoamua ifanisi wa wachezaji husika.
Mfano wachezaji kama okrah, mkude, mudathiri yahya, sure boy n.k walionekana vituko katika timu zao za zamani za simba sc na azam fc, lakini walipofika katika mazingira ya Yanga sc, wachezaji hao hao wamegeuka na kuwa lulu, na sababu pekee ya ubora wao ni kutokana na usawa uliopo kiutendaji ndani ya Yanga sc.
SIMBA hata wamsajili messi bado ataonekana hafai sababu viongozi wa simba sc wanauwezo mdogo sana wa kufikiri, ebu fikiria walimuuza moses Phiri wakamleta jobe, wakamuacha okrah wakamleta Onana, wakamtema mkude wakamleta abdalah hamisi, wakamuacha beleke wakamleta Fred, wakamuacha rally bwalya wakamrudisha miquisson, inshort hakuna watu wenye utashi wa soka pale umbumbumbuni, viongozi wengi wa kolozidad ni wachumia tumbo, wapiga punyeto na wagonjwa wa akili huku upande wa pili mwekezaji wao nae anatoa ya maneno ya mipasho kama mwijaku!.
Kwa Kuzingatia hayo mchache siwaoni kolozidad wakipiga hatua kutoka hapo walipo kwa miaka ya hivi karibuni, hii timu imegeuka kituko cha mwaka, kuanzia ngazi ya viongozi mpaka mashabiki maandazi👇
Kila nikiwasikiliza na kuwatazama wanachama na mashabiki wa Mbumbumbu fc wakitokwa na mapavu, nazidi kuelewa ni kwa nini aden rage aliwaita mbumbumbu katika moja ya mikutano yao ya kijuha pale msimbazi.
Kolozidad wengi wanafikiri matokeo ya uwanjani yanaamuliwa na usajili wa wachezaji wazuri pekee, bila kuzingatia mazingira sahihi ya kiutendaji ndani ya klabu ndio yanatakayoamua ifanisi wa wachezaji husika.
Mfano wachezaji kama okrah, mkude, mudathiri yahya, sure boy n.k walionekana vituko katika timu zao za zamani za simba sc na azam fc, lakini walipofika katika mazingira ya Yanga sc, wachezaji hao hao wamegeuka na kuwa lulu, na sababu pekee ya ubora wao ni kutokana na usawa uliopo kiutendaji ndani ya Yanga sc.
SIMBA hata wamsajili messi bado ataonekana hafai sababu viongozi wa simba sc wanauwezo mdogo sana wa kufikiri, ebu fikiria walimuuza moses Phiri wakamleta jobe, wakamuacha okrah wakamleta Onana, wakamtema mkude wakamleta abdalah hamisi, wakamuacha beleke wakamleta Fred, wakamuacha rally bwalya wakamrudisha miquisson, inshort hakuna watu wenye utashi wa soka pale umbumbumbuni, viongozi wengi wa kolozidad ni wachumia tumbo, wapiga punyeto na wagonjwa wa akili huku upande wa pili mwekezaji wao nae anatoa ya maneno ya mipasho kama mwijaku!.
Kwa Kuzingatia hayo mchache siwaoni kolozidad wakipiga hatua kutoka hapo walipo kwa miaka ya hivi karibuni, hii timu imegeuka kituko cha mwaka, kuanzia ngazi ya viongozi mpaka mashabiki maandazi👇