Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
nazdaz,tatizo lako ni kukaririshwa uko shule alafu unatuletea apa jamvini!eti mpaka wawepo wajumbe wengi wakubaliane in advance,upuuzi huu unafundishwa na nani?waende eti na waraka benki?ulishaona wapi?kwa iyo wakisaini cheki wanaambatanisha na barua ya wajumbe waliosaini?izo ni good practice za mwaka gani?kwa kukusaidia hakuna kugroup signatures siku izi!izo complications zilishafutwa zaman, Specimen za benki uandikwa first signature, second ,third nk mfano CRDB hawawezi zidi watia saini4 kwa fomu ilivo! Na options ni any to sign,all to sign au two to sign ,au any or two au all to sign including,chairman au whoever specified! Hapa hamna cha wajumbe kusaini kila kutoa pesa as far as mmewaamini mliowachagua na kuwaruhusu kuendesha akaunti! Pia kama mliowaamini wametoa ela hakuna jinsi ya kuwazuia labda mkae tena kuamua kuwaondoa wasisaini tena,pia mliyesema lazma asaini ndo wanauwezo wa kuamua lolote na ndo hao tu ambao benki inawatambua mpaka apo mtakapowasilisha document ya kuwaondoa na mpaka na wao wawe wamesaini waraka huo! Acheni kuwaongopea wasiojua banking -operating procedures!