Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Watu hawapo duniani hao. Kwa kifupi umetoa matusiBob Makani na Regia Mtema. Kuwa huru pesa zako ziko salama milele
Watu hawapo duniani hao. Kwa kifupi umetoa matusiBob Makani na Regia Mtema. Kuwa huru pesa zako ziko salama milele
Swali zuri sana maana kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na michango yetu jinsi inavyotumika. kuna tetesi kuwa hakuna control nzuri ya utoaji wa pesa katika chama, nasikia eti anaangaliwa nani anataka bila kujali ni kipi kipaombele. Hatari sana
SwAli. Limekuwa gumu
kama ni ku-rate basi magamba mna akili na hapa lazima sio mpate A TU YA UMBEA lakini BALI 100% KWA 100% kwa stahili ya hoja za magamba bungenisignature kwenye cheque ya kutoa hela account za chadema ni ya nani? Na ipo kwa miaka mingapi? Ni swali tu wana jf
kuna tetesi kuwa signatories wa chadema ni 2 tu na silaa siyo moja wao. Na hao wawili wanaweza kutoa fedha za chama saa yeyote bila kuhusisha mjumbe au mwanachama yeyote na hata hela za mikoani lazima wasaini wao ndo ziwafikie walengwa nilitaka kujua hawa ni nani na nani? Ndiyo msingi wa swali?
magamba nini wewe? kuna umuhimu gani suala hilo kuwa na public interest