Sifa za Mwanamume wa kweli (A real man) tena wa Kiafrika

yes na tunajivunia kuwa wake,yani mke hasa wa kiafrika mwaya
kama kuna vitu najivunia na kupenda ni kuwa MKE na MAMA.
watoto wangu ni full african. huyo mdada mpaka kuna siku aliniambia yaani nikiwa nyumbani ndo hakuna kupumzika.
she is 13 lakini anapika, anafua, anaogesha watoto, anafanya usafi nyumba...... tena chumbani kwangu kama yeye akiwepo ndo huwa napata partner wa kufanya naye usafi. Utasikia "yaani akina dada hawafanyi kazi nyingi kama mimi", namwambia hao wanafanya kazi nyingi sana sisi tusipokuwa nyumbani.
Wadogo ambao ni wavulana nawashirikisha sana kwa kazi ambazo naona watazimudu, nawasubiri kidogo nao kidogo wa-take over bustani na usafi wa nje
 
rafiki tutake radhi, sio wote............... tupo ambao ni wasomi wazuri na tuna kazi nzuri tu, lakini tunajua tukiwa nyumbani mimi nafasi yangu ni MKE, na nitabaki kuwa MKE milele
hongera kuwa best of both worlds!! ulifundwa wapi nimpeleke shemeji maana wadada wenye degree ni pasua kichwa saa zingine


EDIT: sipendi kufanya kazi za bustani/usafi wa nje hapo post #121
 
hili nalo ni janga la kitaifa
'mashangingi yamekuwa ndo walimu'
mwisho ni full upotoshaji
sasa we kungwi kashaachika mara saba af kabisa ndo unamwita aje akufunzie binti yako,wale huwa wanafundisha eneo moja tu kitandani!wanasahau kuna usafi,lugha,chakula,adabu,stara ya mtoto wa kike sio kila yako ya ndani mtaa mzima unjua au mashoga zake wote kashawasimulia jana mumewe alivorudi usiku,hivi unafikiri zamani tulikuwa hatushuhudii ugomvi wa baba na mama mnafikiri walikuwa hawagombani wazazi wetu?hapana kina mama walikua na vifua,kifua hasa cha mwanamke wa kiafrika!sasa hao wanoitwa makungwi hakuna lolote zaidi ya kuwafundisha mabinti yaso mana tu!
 
Halafu hawa watoto wa kiume wa kulelewa na ma housegirl ni kovyo kabisa.Nawaza sana kuhusu hili,mwanangu wa kiume atakua kama mimi baba yake?
 
hongera kuwa best of both worlds!! ulifundwa wapi nimpeleke shemeji maana wadada wenye degree ni pasua kichwa saa zingine

sasa we kungwi kashaachika mara saba af kabisa ndo unamwita aje akufunzie binti yako,wale huwa wanafundisha eneo moja tu kitandani!wanasahau kuna usafi,lugha,chakula,adabu,stara ya mtoto wa kike sio kila yako ya ndani mtaa mzima unjua au mashoga zake wote kashawasimulia jana mumewe alivorudi usiku,hivi unafikiri zamani tulikuwa hatushuhudii ugomvi wa baba na mama mnafikiri walikuwa hawagombani wazazi wetu?hapana kina mama walikua na vifua,kifua hasa cha mwanamke wa kiafrika!sasa hao wanoitwa makungwi hakuna lolote zaidi ya kuwafundisha mabinti yaso mana tu!
Enzi zetu sisi hakukuwa na kitchen part ya ukumbini, full chumbani na wamama kadhaa ambao ni mfano kwa ndoa zao hapo mtaani.
hupati hata kijiko, lakini unachopata ni zaidi ya ma-deep freezer na dressing table.
Siku binti yangu akileta mkwe, nadhani nitaifanya hiyo, mimi kwangu imenilipa sana
 
kama kuna vitu najivunia na kupenda ni kuwa MKE na MAMA.
watoto wangu ni full african. huyo mdada mpaka kuna siku aliniambia yaani nikiwa nyumbani ndo hakuna kupumzika.
she is 13 lakini anapika, anafua, anaogesha watoto, anafanya usafi nyumba...... tena chumbani kwangu kama yeye akiwepo ndo huwa napata partner wa kufanya naye usafi. Utasikia "yaani akina dada hawafanyi kazi nyingi kama mimi", namwambia hao wanafanya kazi nyingi sana sisi tusipokuwa nyumbani.
Wadogo ambao ni wavulana nawashirikisha sana kwa kazi ambazo naona watazimudu, nawasubiri kidogo nao kidogo wa-take over bustani na usafi wa nje

believe me itakulipa mydear,me i wont leave anything nilifundishwa mimi katika kukua kwangu,na namwomba mungu sana niihanndle nyumba yangu the way my mum use to handle hers,!imefanya ssis tukawa vile tulivo sasa.
 
hongera kuwa best of both worlds!! ulifundwa wapi nimpeleke shemeji maana wadada wenye degree ni pasua kichwa saa zingine


EDIT: sipendi kufanya kazi za bustani/usafi wa nje hapo post #121

Hongera Mamii, kama una degree lakini bado unakuwa mke.
Asanteni sana.... kuwa mke unayejua kuwa ni mke ni zaidi ya kuwa na degree 3
 
nianze kutoa mchango wangu ktk huu uzi kama ifuatavyo!nitoe mfano wa ktk siasa,CCM kwa sasa haikubaliki kama zamani,unadhani sababu kubwa ni kwamba chama kimeharibika,au wananchi wamefunguka?mimi nadhani ni kwa sababu watu wamefunguka sana,kuna mambo yanatokea leo wakati wa nyerere ingekuwa shwari tu lakini leo watu wanayakomalia!

back to the topic,mtoa mada ni mzee na ni mbabu!imagine mtoa mada alistaafu jeshi mwaka 1947 akiwa meja jenerali,ni nadhiri mtoa mada anawakilisha kanuni na fikra za wakati wake. Nikuunge mkono Babu DC na waumini wa hoja zako ya kwamba hoja zako ni nzuri,zina nguvu na kila aina ya ubora LAKINI HAZINA NGUVU TENA KWA WAKATI TULIONAO NA KWA WANAWAKE TUNAOWAOA LEO!

Wakati umekuwa ukuta kwa hoja zako Babu Dc!wanawake mliooa wakati wenu walikuwa tofauti sana na wa wakati huu!nikianza kumchambua mwanamke wa wakati wako na wa wakati huu naweza jaza kurasa mia.Utofauti huo wa wanawake wa wakati wenu na huu tulionao unafanya zilizokuwa kanuni bora za Ubaba ndani ya nyumba kuwa si bora tena.Mwanaume wa sasa anahitaji kubadilika sana kwenda sambamba na mwanamke wa leo,mabadiliko hayo ni pamoja na kubadilisha nyingi ya sifa ulizozitaja hapo juu.

Waswahili wanasema raha ya ngoma ingia ucheze,Babu DC...hata kama umeicheza hii ngoma nakuhakikishia umeicheza na wanawake wako wa wakati wako sio huu!Natamani ungeoa leo mwanamke wa kileo halafu utumie kanuni zako hizo.....babu!!!!?YOU COULDNT EVEN REMEMBER THEY ARE EXISTING!

Hujamuelewa DC kabisaa
tunachozzungumza hapa ni 'Mwanaume ku take charge na ku lead'
familia yake na wengineo

hatusemi kuwa kila mwanamke ata respond hivyo
au kuwa hakuna wanawake wabishi walioshindikana,nope
tunasema 'mwanaume weka principles zako na uzifuate'
mkeo kama ni muelewa atakufuata tu mwisho wake..

wengine wanaweza ku choose kuishi kizungu
but sisi wengineo tunakumbushana 'kiafrika zaidi'
 
Enzi zetu sisi hakukuwa na kitchen part ya ukumbini, full chumbani na wamama kadhaa ambao ni mfano kwa ndoa zao hapo mtaani.
hupati hata kijiko, lakini unachopata ni zaidi ya ma-deep freezer na dressing table.
Siku binti yangu akileta mkwe, nadhani nitaifanya hiyo, mimi kwangu imenilipa sana

yahh walikuwa wanaitwa wamama,mabibi,na mashangazi mi nakumbuka niifundisha mpaka kupakua kuku,things like mume hawekewi miguu,sijui shingo kwa haraka haraka unaweza kuita nonsense lakini yale mafundisho yanalipa ile mbya kkwenye ndoa yangu!
 
hongera kuwa best of both worlds!! ulifundwa wapi nimpeleke shemeji maana wadada wenye degree ni pasua kichwa saa zingine


EDIT: sipendi kufanya kazi za bustani/usafi wa nje hapo post #121
ha haaaaaa, pole. lakini kwangu itabidi tu wafanya, hawana choice, na nina uhakika tu watapenda
 
Enzi zetu sisi hakukuwa na kitchen part ya ukumbini, full chumbani na wamama kadhaa ambao ni mfano kwa ndoa zao hapo mtaani.
hupati hata kijiko, lakini unachopata ni zaidi ya ma-deep freezer na dressing table.
Siku binti yangu akileta mkwe, nadhani nitaifanya hiyo, mimi kwangu imenilipa sana
mimi na besti wangu tuliwahi ona KP kwenye tv mabibo hostel (it was accidental, tulikuwa lunch na tv ilikuwa inaonesha hicho kipindi), hamna mafunzo tuliyoona zaidi ya vicheko na zawadi za bei ghali

Halafu hawa watoto wa kiume wa kulelewa na ma housegirl ni kovyo kabisa.Nawaza sana kuhusu hili,mwanangu wa kiume atakua kama mimi baba yake?
take a more active role kwenye malezi yake

sasa we kungwi kashaachika mara saba af kabisa ndo unamwita aje akufunzie binti yako,wale huwa wanafundisha eneo moja tu kitandani!wanasahau kuna usafi,lugha,chakula,adabu,stara ya mtoto wa kike sio kila yako ya ndani mtaa mzima unjua au mashoga zake wote kashawasimulia jana mumewe alivorudi usiku,hivi unafikiri zamani tulikuwa hatushuhudii ugomvi wa baba na mama mnafikiri walikuwa hawagombani wazazi wetu?hapana kina mama walikua na vifua,kifua hasa cha mwanamke wa kiafrika!sasa hao wanoitwa makungwi hakuna lolote zaidi ya kuwafundisha mabinti yaso mana tu!
financial independence inachangia. anajua akiondoka hatakufa njaa hivyo ''kifua cha mwanamke wa kiafrika'' kimepungua
 
yahh walikuwa wanaitwa wamama,mabibi,na mashangazi mi nakumbuka niifundisha mpaka kupakua kuku,things like mume hawekewi miguu,sijui shingo kwa haraka haraka unaweza kuita nonsense lakini yale mafundisho yanalipa ile mbya kkwenye ndoa yangu!
ha haaaaaaaaaaaaaa. kuna mama aliniuliza mama yako si alikuambia ukimaliza kusonga ugali tu unaosha mwiko?
nakumbuka hiyo ilikuwa kelele ya mama kila siku, yaani akute watu wamekaa mezani wanakula ugali halafu akute mwiko umelowekwa na sufuria! moto utawaka, na mpishi hataendelea kula mpaka aoshe mwiko. hii imenikaa mpaka sasa hivi, nikisonga ugali, nikipakua tu naosha mwiko kabla sijapakua mboga. sasa binti analo saa hizi.................. niliambiwa maana yake hiyo siku.
bonge la mafundisho yaani..............
 
yahh walikuwa wanaitwa wamama,mabibi,na mashangazi mi nakumbuka niifundisha mpaka kupakua kuku,things like mume hawekewi miguu,sijui shingo kwa haraka haraka unaweza kuita nonsense lakini yale mafundisho yanalipa ile mbya kkwenye ndoa yangu!


Au unaagiza housegirl afanye kitu bila kumsimamia
we umelala mume anatafuta shati safi halioni....
unaulizwa wewe,na wewe unamuuliza housegirl...
na hapo ndo saa kumi na mbili asubuhi na foleni hizi za mjini..
pata picha?
 
Blaine,mimi baba natoka asubuhi narudi usiku nimechoka,mama yake nae hivyohivyo,tena wakati mwingine anakuja na ma-stres ya kazini kwake,kunakua hakuna wa kumpoza mwenzake,unyumba wenyewe tunapeana kimazoea tu hisia hakuna tena.Nitaweza kuwalea wanangu kweli?
 
Last edited by a moderator:
Hujamuelewa DC kabisaa
tunachozzungumza hapa ni 'Mwanaume ku take charge na ku lead'
familia yake na wengineo

hatusemi kuwa kila mwanamke ata respond hivyo
au kuwa hakuna wanawake wabishi walioshindikana,nope
tunasema 'mwanaume weka principles zako na uzifuate'
mkeo kama ni muelewa atakufuata tu mwisho wake..

wengine wanaweza ku choose kuishi kizungu
but sisi wengineo tunakumbushana 'kiafrika zaidi'
i think MTC anasema kuwa ''mwanaume wa kiafrika'' wa babu DC ni adimu kwa sasa na kwamba DC 'amepitwa na wakati' (no offence intended), other than kufuata principles, hizo sifa zingine ni ngumu kuzipata miaka hii

ha haaaaaa, pole. lakini kwangu itabidi tu wafanya, hawana choice, na nina uhakika tu watapenda
itawasaidia baadae na kuwa independent, pia wata-appreciate the meaning of hard work na kutodharau housegirls/boys ukubwani na the less fortunate.
 
Back
Top Bottom