snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,687
- 23,576
aahahahhaahahahahahhhha typical mwanaume wa kiafrikaNow naweza kufikiria tena
ombi lako la thread ile? lol
babangu alikuwa hata upate 99% mathematics hakwambii live kuwa umefanya vizuri!atakaza macho na kuwambia inabidi ujutahidi zaidi ya hapa!af compliments utazisikia tu kwa maam siku moja enh hata babako anasema unafanya vizuri kwelie darasani!