snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,636
wanachanganya sana kujua vitu na kuwa mjuaji,its one thing kuwa msomi,its quite the other kutokuwa humblehili la watoto wa kike wajuaji
na ukichanganya na masharobaro walio waoa ni'janga la kitaifa'
its one thing kuzungusha uchumi ndani its quite the other kudharau mume
its one thing also kuzunguka duniani na kuwa na cash nono kwenye akaunti its quite the other KUWA MKE WA KIAFRIKA hawajui tu ilivyo raha unasave vitu vingi sana