hahaha hii ni muafaka kwa wanaume wanao-prefer hit and run
namba 5 imekaa kimtazamo zaid,,,,,kila mtu ana mtazamo wake juu ya hilo,,,,,,,,namba 1 napo pana utata sana,,,,,,ila namba 3 wanaume wengi ndo HUTUKIMBIZA,,,,maana wao hutufanya atm,,,lakin namba moja imekaa kimakundi sana,,,mambo ya kuigana na pia mambo ya utandawaz,,,,haya mambo wanayo wanawake wasomi,na wasiosoma
mpododo kwanza.
asante kwa kujadili, mkuu wanawake wengi sana wanaiga maisha na hawapo katika maisha yao ya kawaida. anataka kuvaa kama fulani, kwenda viwanja anavyokwenda fulani, kuishi maisha kama anayoishi fulani na mpenzi wake na vingine vingi vya kuiga. hawataki kuwa wenyewe
lete leo hii hii,,,ndo wakat muafaka,,,unaweza kuzieleza hapa then tuendelee kuzijadil
kwa dunia ya leo kuwapata wenye hzo sifa mkuu kaazi ipo..na anaebahatshwa kuwa nazo atagandwa huyo usiombee....
hebu tupe hizo primary mbili ama tatu hivi kwa uchache
Word!!!!wapo tatizo wanaume wengi tuna papara
MwanajamiiOne hatuwachanganyi, sema ni nadra kumkuta mwanamke independent na asiyenata kama jinsi ilivyo nadra kumkuta mrembo sana asiyenata.Mnapotuchanganya ni hapo namab tatu, independent woman mnamwona ananata at the same time mnamtamani! Phweee!
am a member of that club,,,,,
Unakamilisha usemi mmoja kuwa raha ya mapenzi ni ku**joa
mkuu huo usemi sio sahihi, vinginevyo basi mastabesheni ingekuwa ndio kila kitu maana shughuli pale inaisha kama ulivyosema
Sawa mkuu nimekupata, lakini katika mapenzi output yake ni kuk..joa ndio maana nikasema hivyo.