zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Dr lwaitama akiongea kwenye Sibuka Tv,muda huu amesema kama angepewa nafasi ya kumshauri Rais Mstaafu Bwm,kwa udogo wake angemshauri BWM asijihusishe na Siasa ndogo ndogo labda angejihusisha na uchaguzi wa kiti cha Urais.