Siasa za Udahili: Muslim University of Morogoro

Waislam chuo kikuu kimoja tu, chawatoa macho,ipo haja ya kupunguza ubaguzi nyie wakristo mmezid wapendwa...nimeamini hata uwape nini hawatatupenda abadani, Allah hadanganyi nyie hata mumpe fact gani hataelewa bwana, sie tumesoma SAUT na akina John wamesoma MUM mbna kawaida tu, hivi vingekuwepo vyuo kama MUM 10 sijui ingekuaje, au sababu huoni vimini pale chuon ndo roho inauma...punguza roho mbaya mtoa mada
 
Mtoa Mada umekurupuka huna data,mm npo mum BSED, kuna kozi za islamic studies ndo wanataka uwe umesoma hill somo LA dini kama zilivyo kozi zingne huwezi kusomea udaktari alafu biology isiingaliwe utachekesha,ila sio wote wanaochukua masomo hayo mbn wakristo tunao wengi wamesomea wapi somo LA dini ya uislam punguza chuki haikusaidii jenga chuo chako ndo uwaambie TCU wakifungie co unaropoka bila ushahidi
 
Mleta mada huna uthibitisho ktk hilo,huo ni uzushi,najua huwezi kuacha chuki zako juu ya uislam,ila jaribu kuudhibiti kidogo,hakuna watoto wadogo humu
 
Kama ni maalimu kwa kutoa Ma Imamu,, Ustaadhi,, Mufti,, na Mashekhe ni bora TU TCU Wasiwaingilie wawaache wafundishe watu jinsi ya kuingia peponi,,
 
FACULTY OF LAW AND SHARIAH

Ag. Dean,

Tawaqal J. Hussein

B.A. (Islamic Call) (Medina);

M.A. (Islamic Shariah) (Islamic Univ. Uganda).

FACULTY OF BUSINESS STUDIES

Ag. Dean and Assistant Lecturer,

Abdulla Y. Tego (Islamic Studies)

B.A. (Ed) (Islamic Univ. Uganda);

M.A. (Islamic Studies) (Muslim College - London).


Lecturer

Muhammad A. Dedes

Adv Dip. Econ Planning (IDM Mzumbe)

M.A (Economics) Vanderbilt Unv. (USA)

Post M.A STudies in Econ. (Univ of COlorado - USA). Introducing Course in Finance (Univ of Strathclyde -Scotland UK)


FACULTY OF SCIENCE

Ag. Dean and Assistant Lecturer (Biology),

Salum Hassan Mijinga

B.Sc. (Agriculture) (University of Alberta);

M.Phil (Biology) (University of Sussex).


Assistant Lecturer (Mathematics),

Halidi A. Lyeme

M. Sc (Mathematical Modelling) UDSM

B.A. (Ed) (MUM).
Kwa Leo ngoja niishie hapa.
 
Pia shule ya Sekondari mtambani wanafunzi kusoma hadi jumamosi na jumapili, alhamisi na ijumaa kupumzikaNalo pia liangaliwe, Pia viwanja vya michezo hakuna pale, chini msikiti juu madarasa hvy kuleta shida wakati wa kujifunza. Tuendelee kuboresha elimu
Utaumia bure ndugu yangu.Nazi haishindani na jiwe.Aliyepewa na mungu huwezi mpokonya Katy.
 
Wewe na TCU nani anakijua chuo kiundani utaumia Bure ndugu yangu mtaendelea kufungiwa na kurudia miaka mnapohamishiwa vyuo vingne polee
 
Tumeshauri mara kadhaa wale makanjanja watafute pori la kujificha maana ni awamu ya UBORA (Quality) na sio WINGI (Quantity).
 
Back
Top Bottom