Siasa za Udahili: Muslim University of Morogoro

ALAFU ANAVYOONA TUMEMNYAMAZIA ANATUONA SISI WAPUMBAVU!! WAISLAMU KUSANYENI USHAHIDI WA UCHOCHEZI KUMUHUSU HUYU MLETA MADA THEN TUMPELEKE KWENYE VYOMBO VYA SHERIA
Ustadhijuma.

wala usisumbuke hawa ndiyo kina abujahali wa zama hizi.

Dawa ni kumpuuza tu.
 
Ukipuuza utakuwa hujajibu hoja zake, na wala hakuna atakayejua habari tofauti na iliyoletwa. Jambo la msingi ni kuangalia ipi ni hoja, kisha kuijibu kwa hoja
Hoja zipi ambazo hazijajibiwa?.

Tuwekee mfano tuzione.

Je maneno ya kashfa anayoyatoa dhidi ya uislamu nayo ni hoja zinazohitaji kujibiwa?.
 
but
Pia shule ya Sekondari mtambani wanafunzi kusoma hadi jumamosi na jumapili, alhamisi na ijumaa kupumzikaNalo pia liangaliwe, Pia viwanja vya michezo hakuna pale, chini msikiti juu madarasa hvy kuleta shida wakati wa kujifunza. Tuendelee kuboresha elimu
but unaonaje ukaangalia matokeo yao , hakuna 0 wala 4 pamoja na kuwa hakuna hayo yote uliyoyasema
 
Vyuo vikuu ulimwenguni ni chanzo cha kuzalisha nguvu kazi ya kuendesha uchumi na maendeleo kwa ujumla sehemu husika na duniani kwa ujumla.

Lakini hapa Tanzania baadhi ya vyuo kwa makusudi wameamua kuja na vigezo "pekee/unique" katika kudahili wanafunzi, kikiwemo chuo kikuu binafsi cha Muslim University of Morogoro

1. Kujumuisha somo la dini katika vigezo vya kufuzu kudahiliwa hapo tofauti na miongozo ya TCU. La kushangaza zaidi wahitimu hawa/walimu hawa wenye ujuzi wa somo la dini wameajiriwa shule za umma.

2. Kukataa mfumo wa Central Admission (huenda lisiwe kosa) bali linazua maswali mengi.

3. Sifa za kitaaluma za wahadhiri chuoni hapo ni kitu cha kutilia shaka.
Tafadhali TCU mliangalie hili suala kwa jicho la 3 kama kweli mmelenga kuboresha elimu ya vyuo vikuu Tanzania.

** NASISITIZA: Nia ni kujenga wala si kubomoa tafadhali tusichafue hali ya hewa kwa mrengo wa kidini.
KAFRIE ON WORK
 
Nasikia harufu ya damu, huyo firauni alosema external examiners wanachukuliwa mashekhe wa mtaani wale wanaokunywaga kahawa mtaani naona analeta utani......takdiiiiiiiiiri
 
Kumekucha vyuo dhoofu hatarini kufutwa. Tuliwaambia makanjanja hawana nafasi wakati huu.
 
Naona kuna kaarufu ka udini apa!
1. Chuo cha waislam, kisifundishe elimu ya dini?Au chuo cha ....... kisifundishe elimu ya .....
kuna faida gani ya kuwa na vyuo kama ivyo endapo wanafunzi hawapati elim ya dini.

napita tu
 
Inasikitisha sana mwanaJF anaejiita (MDUDU KAMILI) unapoamua kudanganya umma kwa sababu tu ya MAHABA MAZITO uliyo nayo dhidi ya MUM, ajira za mwaka jana Serikalini wameajiri walimu wenye masomo ya kufundishia ya DINI pia si sifa ya kupendeza CHUO KIKUU kutegemea Part-time na kuweka Majina/profile zao (wakati mwingine bila Consent yao) kwenye Prospectus yenu na kudai ni walimu wenu.
NB: Hao wanataaluma uliowataja wanafika wangapi? Mtu kuwa alishawahi kuwa Mbunge ni sifa ya kitaaluma?
Pia, UDOM & MUM mtuambie kuna nini kati yenu?
Mbona hao wanataaluma uliwataja hatupati machapisho yao ya kitaaluma, ukiondoa Prof. Njozi?
Na wewe tutajie profesa wa Tumaini University anayetoa machapisho!!
 
Back
Top Bottom