Kwa Watanzania wengi Muslim Brotherhood unaweza isiwasitue sana hasa ukizungumzia ubaya wa Ugaidi. Lakini tusichojua ni kuwa Muslim Brotherhood ndiyo ambao wamekuwa nyuma ya panzia ya utendaji wa Alqaida, ISIS Salafi na kwa sasa Hamas.
Muslim Brotherhood ilianzishwa mwanzoni kabisa mwa Karne ya 20 miaka miinne tu baada ya Ottoman Empire kuvunjwa. Muanzilishi wake ni Hassan El Banna (Egyptian). El Banna aliona wasipoteze ndoto za ottoman empire za kusimamisha ISLAMIC CALIPHATE. Kwa hiyo Msukumo wao mkubwa ni "To Push the Political Islam Agenda".
Kuna mambo mengi yametukia yakihusishwa na Muslim Brotherhood mfano, Rais Mohamed Morsi, Rais Racep Edogan, na siku za karibuni wale maprofesa katika vyuo vikuu vya Marekani ambao wamekuwa wakipokea fedha toka Qatari ili kupenyeza itikadi za Muslim Brotherhood kwa wanavyuo.
Katika Agenda yao ya Islamic caliphet Israel pia inatakiwa iondoke. Ili wapate uungwaji mkono na wananchi Waarabu wa Palestine Muslim Brotherhood Wamewatumia Hamas (Hamas is an offshoot of Muslim Brotherhood).
Aidha, Muslim Brotherhood kwa kutumia influence yao wamelitumia Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kuhakikisha kuwa mitaala ya Elimu kwa Watoto wa Kipalestina inajenga chuki dhidi ya Wayahudi na Taifa la Israel.
Cha kusikitisha ni kuwa Muslim Brotherhood badala ya kuweka bayana ukweli kamili ulioko kwenye Quran na Hadith za Mtume, wao wameamua kuwalisha wapalestina mafundisho ambayo yatawafanya watekeleze Islam political Agenda yao tu.
Mfano Hamas Charter ya 1988 imejikita kwenye kuchochea chuki dhidi ya Wayahudi kwa kutegemea hadithi ya Mtume ya Sahih Muslim 2922 " Kama haita kuja mpaka Waislam wamewaua Mayahudi wote".
Swali ambalo wapalestina wanapaswa kujiuliza ni kwa kiasi Gani waziamini Hadithi za Mtume ambazo ziliandikwa miaka 200 baada ya Mtume kufa? Wenzao huko Saudia wameanza kuzitilia mashaka.
Swali lingine la kujiuliza ni je, walipata kujua kuwa Allah katika Qur'an ameawazungumzia sana wana wa Israel kama watumishi wake kupita jamii yeyote ile hapa Duniani? Mpaka kuna aya 2:47 inasema Israel you are the most favored na Quran 5:21 says Allah has assigned the Holy Land to you.
Je, kuna sehemu yeyote katika Qur'an Allah anawataja Wapalestina? ZERO.
Mimi ninachoona ni kuwa Waislam wa Palestine wakumbuke kuwa Islam is about Submission to Allah and his Prophet. Kwa wao kufuatia maelekezo ya Hamas na Muslim Brotherhood tayari wanajiweka katika kundi la kumuasi Allah (the become Apostates) na pia they commit shirk.
Basi wajue kuwa ndiyo maana mipango yao yote ya kuiangamiza Israel na Wayahudi haifanikiwi ni kwa sababu wanapingana na Mafundisho ya Allah na kuwafuata wanadamu.
Sikiliza hii Video hapa chini; na mzinduke nyinyi Waislam.
Muslim Brotherhood ilianzishwa mwanzoni kabisa mwa Karne ya 20 miaka miinne tu baada ya Ottoman Empire kuvunjwa. Muanzilishi wake ni Hassan El Banna (Egyptian). El Banna aliona wasipoteze ndoto za ottoman empire za kusimamisha ISLAMIC CALIPHATE. Kwa hiyo Msukumo wao mkubwa ni "To Push the Political Islam Agenda".
Kuna mambo mengi yametukia yakihusishwa na Muslim Brotherhood mfano, Rais Mohamed Morsi, Rais Racep Edogan, na siku za karibuni wale maprofesa katika vyuo vikuu vya Marekani ambao wamekuwa wakipokea fedha toka Qatari ili kupenyeza itikadi za Muslim Brotherhood kwa wanavyuo.
Katika Agenda yao ya Islamic caliphet Israel pia inatakiwa iondoke. Ili wapate uungwaji mkono na wananchi Waarabu wa Palestine Muslim Brotherhood Wamewatumia Hamas (Hamas is an offshoot of Muslim Brotherhood).
Aidha, Muslim Brotherhood kwa kutumia influence yao wamelitumia Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kuhakikisha kuwa mitaala ya Elimu kwa Watoto wa Kipalestina inajenga chuki dhidi ya Wayahudi na Taifa la Israel.
Cha kusikitisha ni kuwa Muslim Brotherhood badala ya kuweka bayana ukweli kamili ulioko kwenye Quran na Hadith za Mtume, wao wameamua kuwalisha wapalestina mafundisho ambayo yatawafanya watekeleze Islam political Agenda yao tu.
Mfano Hamas Charter ya 1988 imejikita kwenye kuchochea chuki dhidi ya Wayahudi kwa kutegemea hadithi ya Mtume ya Sahih Muslim 2922 " Kama haita kuja mpaka Waislam wamewaua Mayahudi wote".
Swali ambalo wapalestina wanapaswa kujiuliza ni kwa kiasi Gani waziamini Hadithi za Mtume ambazo ziliandikwa miaka 200 baada ya Mtume kufa? Wenzao huko Saudia wameanza kuzitilia mashaka.
Swali lingine la kujiuliza ni je, walipata kujua kuwa Allah katika Qur'an ameawazungumzia sana wana wa Israel kama watumishi wake kupita jamii yeyote ile hapa Duniani? Mpaka kuna aya 2:47 inasema Israel you are the most favored na Quran 5:21 says Allah has assigned the Holy Land to you.
Je, kuna sehemu yeyote katika Qur'an Allah anawataja Wapalestina? ZERO.
Mimi ninachoona ni kuwa Waislam wa Palestine wakumbuke kuwa Islam is about Submission to Allah and his Prophet. Kwa wao kufuatia maelekezo ya Hamas na Muslim Brotherhood tayari wanajiweka katika kundi la kumuasi Allah (the become Apostates) na pia they commit shirk.
Basi wajue kuwa ndiyo maana mipango yao yote ya kuiangamiza Israel na Wayahudi haifanikiwi ni kwa sababu wanapingana na Mafundisho ya Allah na kuwafuata wanadamu.
Sikiliza hii Video hapa chini; na mzinduke nyinyi Waislam.