Mwigulu acha uchochezi wako huu kwa wanachadema, Unataka kugombanisha wanachama na viongozi kwa uongo wako kwani ni lini fedha za Sabodo zimetumika kumnunulia Dk.slaa nyumba.
Kwani lwakatale yuko wapi!!!!!!
Mkuu bungeni nina uhakika na ninachokisema kwani kuna vijana wawili(ndugu zangu wa mbali) ni wanachama wa CCM waliojichokea na maisha walikuwepo kwenye kambi hizo kambi hapo Mbeya wamenieleza kwa kifupi 'Upumbavu' waliokuwa wakifundishwa na hao wakufunzi wa CCM, yaani ni mambo ya ajabu kabisa, kwa mfano:hakuna siri yoyote kwa sababu hawafundishwi ugaidi wala hakuna sumu kule..kama na wewe unataka unakaribishwa...vijana wanafundishwa ukakamavu ndio mana hujawahi kusikia walishe mtu sumu au watishie mtu na bastola ili wapewe nyaraka
Navojua makala ni jina la wanyiramba ila wewe ni janga kwa wanyiramba kama kweli hilo ni jina lako...hakuna mtanzania mwema anayependa chadema kwa sababu ni wauwaji angalia walivotaka kumuua mama yake zito. Angalia walivomtesa kibanda baada ya kuandika makala kuhusu kinana na sekretariat makini ya ccm, angalia wanavyokatakata miguu ya ng'ombe na mashamba ya wananchi...wananchi wa iramba wamewakataa na kata 25 za udiwani zitawakataa tr 16 mwezi huuTatizo lako Mwigulu umejaa chuki na fitina za kisiasa kuliko moyo wa upendo na demokrasia kwa vyama vya upinzani haswa CHADEMA.unapinga siasa za majitaka na kuziendeleza wakati huo huo, mfano unabisha kuwa hujawahi kutoa mafunzo ya kijeshi wala ugaidi lakini hapo hapo unadai CHADEMA ndo wanatoa mafunzo hayo...Ushahidi uko wapi? Umeenda kuripoti chombo gani cha usalama? Na kwanini wasimtuhumu January Makamba au Deo Filikunjombe ambao wote ni vijana bali wanakutuhumu wewe?
Kwa kuwa nyie mnaandaliwa kulisha watu sumu na kukatakata mifugo miguu kama alivyofanya diwani wenu kule singida ndio unadhani wote???
Chadema wamebaki kuwa chama cha mipasho tu sasa
KAMUSI MPYA YA KISWAHILI YA CCMMY TAKE:
Wakati ccm tunafundisha vijana kukua katika uzalendo..ukakamavu na nidhamu ya kisiasa.CHADEMA wemakula fedha za sabodo alizotoa kwaajili ya ujenzi wa chuo cha kulelea vijana wa chadema pale Kibaha.
CCM tunautaratibu mzuri wa kufundisha vijana kulindaamani na kuwa wazalendo.Chadema wapo busy kuandamana na kunywesha vijana pombe kali aina ya viroba ili kuvuruga amani ya nchi.
KARIBUNI ARUSHA KATA YA KALOLENI
Kwani lwakatale yuko wapi!!!!!!
Muulize mkurugenzi wa fedha na utawala chadema ndugu Antony Komu atawaambia pesa ya sabodo kuhusu ujenzi wa chuo cha mafunzo ya vijana wa chadema iko wapi!!!!!!!
Nimesoma gazeti la tanzania daima linalomilikiwa na mwenyekiti wa chadema Mh.Mbowe la leo tar.8/6/2013 lenye habari ya kuhusu mafunzo ya vijana wa ccm kuwa ni ya kijeshi na kigaidi na yanafanywa kwa maelekezo yangu.
1. Sijawahi toa maelekezo yoyote yanayohusu mafunzo ya kijeshi au kigaidi au ya aina yeyote kwa vijana wa ccm mbeya au tanzania kwa ujumla. Kwasababu chama hakina utaratibu wakutoa mafunzo ya kijeshi au kigaidi kama wanavyofanywa na watani zetu(chadema).
2. Mafunzo yanayoendeshwa ndani ya ccm kwa vijana ni mafunzo tangu na tangu kuanzishwa kwa chama chetu,ambayo ni mafunzo yanayohusu siasa,itikadi,afya,elimu ya kujitegemea na mapokezi ya viongozi.Kabla ya mafunzo hayo vijana hufanya gwaride na mchakamchaka. Huu ni utaratibu unaofanyika miaka yote na sehemu zote za tanzania bara na visiwani.
3. Kambi ya vijana huko mbeya iliwekwa eneo la ivumwe nasio maeneo mengine kama gazeti la tanzania daima lilivyoreport.Na mafunzo hayo yamemalizika jana tar.7/6/2013.Ni mafunzo ya itikadi,siasa na afya.
4. Mwaka jana kambi hiyohiyo ilifanyika eneo la nanenane jijini mbeya.
ONYO KALI
Naonya na ninalaani vikali chombo cha habari kama tanzania daima kuandika vitu vya uongo na uzushi kwa maslahi ya chama chake.Hii ni fedheha kwa chama husika..mmiliki wa gazeti hilo na kwa uongozi mzima wa Tanzania Daima(Free mMedia) kuishiwa habari za kuandika na kuishia kuwa wazushi na wabangaizaji wa habari za kuokota.
MY TAKE:
Wakati ccm tunafundisha vijana kukua katika uzalendo..ukakamavu na nidhamu ya kisiasa.CHADEMA wemakula fedha za sabodo alizotoa kwaajili ya ujenzi wa chuo cha kulelea vijana wa chadema pale Kibaha.
CCM tunautaratibu mzuri wa kufundisha vijana kulindaamani na kuwa wazalendo.Chadema wapo busy kuandamana na kunywesha vijana pombe kali aina ya viroba ili kuvuruga amani ya nchi.
KARIBUNI ARUSHA KATA YA KALOLENI
Peleka ujinga wako huko, kwa hiyo lwakatare na ben sanane wanaotembea na sumu ili wawalishe wenzao wamefundishwa na ccm??? Green guard ipo tangu ccm ilozaliwa miaka karibu 40 sasa hayo hatujawahi kuyaona wala kuyasikia, ni uzandiki wenu tu huo...chadema kimeanzishwa juzi sasa ona mauaji yalivoongezeka hapa nchini...kemea chadema kama unavyokemea shetani ukiwa kwenye salaMkuu bungeni nina uhakika na ninachokisema kwani kuna vijana wawili(ndugu zangu wa mbali) ni wanachama wa CCM waliojichokea na maisha walikuwepo kwenye kambi hizo kambi hapo Mbeya wamenieleza kwa kifupi 'Upumbavu' waliokuwa wakifundishwa na hao wakufunzi wa CCM, yaani ni mambo ya ajabu kabisa, kwa mfano:
1/Namna ya kutengeneza vitisho dhidi ya wafuasi wa CHADEMA ili waogope.
2/Namna ya kuvamia kimakundi makundi mikutano , ngome au mfuasi wa CHADEMA popote pale.
3/Namna ya kupiga watu usiku wanaodhaniwa ni wafuasi wa CHADEMA na kisha kutokomea mbali pasipo kukamatwa.
4/Namna ya kupanga matukio ya kihalifu katika siasa kwa kushirikiana na jeshi la polisi kwa nia ya kuisingizia Chadema.
5/Nyimbo, vibwagizo na hamasa za ajabu ajabu kwa nia ya kuongeza morali dhidi ya CHADEMA na wafuasi wao.
Acha kutumia uwezo wako wa pesa kumtembeza juani Tesha uliyemtenda mwenyewe, au ni kwa ajili ya umasikini wake? kwanini basi hutembei na Kibanda au Ulimboka?Hata babu yenu slaa kajifunzia siasa katika makambi kama hayahaya akiwa kijana wa ccm,mwulizeni babu yenu slaa kama hayajui haya!!!!!
Muulize mkurugenzi wa fedha na utawala chadema ndugu Antony Komu atawaambia pesa ya sabodo kuhusu ujenzi wa chuo cha mafunzo ya vijana wa chadema iko wapi!!!!!!!
TAREHE | MAHALI | KIMETAJWA MARA | MUHUSIKA | CHEO | |
02/01/2013 | STAR TV | CHADEMA 14 | CCM 4 | MWIGULU NCHEMBA | NAIBU KATIBU CCM |
29/01/2013 | KASULU MJINI | 46 | 11 | NAPE NNAUYE | KATIBU ITIKADI &UENEZI CCM |
17/02/2013 | DAR ES SALAAM ,GOBA | 72 | 8 | NAPE NNAUYE | KATIBU ITIKADI &UENEZI CCM |
06/04/2013 | MOSHI NJORO | 63 | 14 | NAPE NNAUYE | KATIBU ITIKADI &UENEZI CCM |
12/04/2013 | BUNGENI | 12 | 02 | MWIGULU NCHEMBA | NAIBU KATIBU CCM |
21/04/2013 | MOROGORO MJINI | 113 | 16 | KINANA |
Lwakatare amejitenda mwenyewe na slaa wake kutaka kuuwa watu wanaotofautiana nao kimtizamo. Zitto mmemkosakosa mara ngapi??? Mama yake zitto ambaye ni mlemavu kikongwe mmemkosakosa mara ngapi??? Msaki mmemkosakosa mara ngapi??? Chacha wangwe yuko wapi???Mungu wa Abraham Isaka na Yakobo na akutende sawasawa na ulivyomtenda Lwakatare.
Wewe ni nani hata umkufuru Mungu kwa jeuri kubwa hivi?
Hata babu yenu slaa kajifunzia siasa katika makambi kama hayahaya akiwa kijana wa ccm,mwulizeni babu yenu slaa kama hayajui haya!!!!!
Mkuu hupaswi kumhusisha mungu kwenye uongo wako unatunga uongo halafu unamuhusisha mungu.Nilipoongozana na wewe kwny kampeni za 2010 Shelui, Mgongo, Ntwike, Ndago na hatimae Dar kufuraia ushindi niliamini Iramba tumempata Zitto wetu, tumempata Mnyika wa CCM , kumbe ni muuaji na mzandiki kiasi hiki. Mungu anisamehe kwa hii dhambi niliyoifanya