Muuaji ni yule mbeba sumu wenu lakini pale hawezi kusogea shetani hawezi kukaa mahala ambapo mungu yupo.Siji kusikiliza porojo na kuhatarisha maisha yangu kwa muuaji anayejulikana
Muuaji ni yule mbeba sumu wenu lakini pale hawezi kusogea shetani hawezi kukaa mahala ambapo mungu yupo.Siji kusikiliza porojo na kuhatarisha maisha yangu kwa muuaji anayejulikana
Sio hao tu hata Lowassa atakuwepo kuokoa jahazi la CCM lisizame Arusha.
Mungu unamjua au unaimba kama kasuku? Mbona hamjamfikisha mahakamani huyo mbeba sumu? Halafu huyo Mwigulu wenu kwenye kesi ya Ndago ametajwa kukodisha walioua kwa ushahidi wa polisi. Sasa muuaji ni nani? Kumbe wapuuzi wafuasi wa muuaji Mwigulu Nchemba mko wengi?Muuaji ni yule mbeba sumu wenu lakini pale hawezi kusogea shetani hawezi kukaa mahala ambapo mungu yupo.
Mwigulu acha ujinga wewe unahusika moja kwa moja,Wewe si ndo umeandaa mpango wa video ambayo mlimbambikia Lwakatare so kama uliweza kurikodi movie ile utashindwaje kuwaandaa vijana wenu kwa Kufanya vurugu na vitendo vya kigaidi vya kuteka watu na kuwaumiza,Mwigulu Watanzania wa sasa si kama wale wa zamani,pia wengi sasa wanakufahamu kwa uwendawazimu wako wa kila siku wa kuropoka ndio maana hata jana umeharibu kura kwa kuandika jina lako wewe na mgonjwa mwenzako wa akili Komba hivi wewe si ulisema una First dgree ya uchumi hivi umeichakachua wapi mkuu maake kama kweli una First Dg ya uchumi utawezaje kuandika jina lako kwenye karatasi ya kupigia kura????Acha kutoa mapovu kaka wahi ukaombewe au ulikuwa unamfikiria Juliana Shonza???
Mkuu hilo swali gumu sana kwa makamanda viroba,Muulize mkurugenzi wa fedha na utawala chadema ndugu Antony Komu atawaambia pesa ya sabodo kuhusu ujenzi wa chuo cha mafunzo ya vijana wa chadema iko wapi!!!!!!!
Huyu naye atakuwepo?Karibu sana hata mwampamba yupo pia.
Tatizo sio kwenda Arusha tatizo ni kushinda Arusha.ha haa ha, Mwigulu Nchemba, kiboko ya Chadema walikuwa wanasema eti hawezi kwenda Arusha amekwenda na yupo mitaani makamanda wa cinema za kihindi wapo tu vijiweni.
Alikuwepo Kolimba wewe watakushindwaje ni timing tu kama kumchinja kobe.Alikuwepo Marehemu Chacha wangwe pia chadema sembuse wewe!!