Siasa za majitaka za CHADEMA Mbeya na hofu ya kushindwa uchaguzi

Chadema ni janga kwa taifa letu...tuikemee kama tumkemeavyo shetani kwenye maombi yetu
 
Hii dhana ya kufanya mambo na kuanza kusingizia wengine wanayo sana chadema,chadema wanakikundi cha kigaidi kikiongozwa na lwakatare halafu leo waisingizie ccm.
 
Nilipoongozana na wewe kwny kampeni za 2010 Shelui, Mgongo, Ntwike, Ndago na hatimae Dar kufuraia ushindi niliamini Iramba tumempata Zitto wetu, tumempata Mnyika wa CCM , kumbe ni muuaji na mzandiki kiasi hiki. Mungu anisamehe kwa hii dhambi niliyoifanya
Mkuu una sumu hapo mfukoni??? Kwanini tusimlishe tu sumu kama tulivotaka kulisha zito na msaki?? Anatunyima raha sana huyu mwigulu
 
Kwani lwakatale yuko wapi!!!!!!
Kwahiyo unafurahi mwenzako kuwekwa ndani, Mwigulu kumbuka any thing goes around comes around, you never know the next day Lwakatare is going to be your boss, labda omba CCM itawale hadi utakapokuwa kwenye 80's.
 
pamoja na mambo mengine,nimefurahi sana kuona unajitokeza kujibu au kutoa ufafanuzi kwa habari ambazo inawezekana kweli ni uongo au la!

hii tabia ni nzuri sana,na nafikiri ujenge tabia ya kutokimbia hoja ua maswali uliyoanzisha mwenyewe,nikitazama hapa chini,inaonesha bado humu JF,endelea kujibu hoja za wadau,ndiyo siasa hizo.

Sasa, Swali langu.

Naona siku hizi umeamua kufuga ndevu na mzuzu,au kwa ufupi haunyoi ndevu hivi ni kwa nini?
 
huyu jamaa anajiamini sana kwa kudhani nchi hii ni mali ya ccm...anafanya kila aina ya jeuri uzushi na hila chafu kwa chadema akiamini wananchi wataichukia chadema...wananchi tupo makini kwa sasa na tunazifahamu dhuluma na uonevu unaofanywa na serikali ya ccm...hvyo kuipaka matope chadema haitasaidia bwana chemba...we need changes...pia tunafahamu kwamba ili mabadiliko yoyote yatokee ni lazima baadhi ya watu walipe gharama.
Mkuu usiwasemee watu mimi binafsi huwezi kuniambia kitu kuhusu chadema kwa sababu nikijua ni chama ambacho wala hakina nia ya dhati ya kuwakomboa watu bali ni kuwatumia watu ili chama kiendelee kunufaika kwa ruzuku za watanzani ni kundi la hovyo kabisa.
 
Wenzako walikuja na madai kwamba Tz Daim ni Gazet la Mipasho wakashushiwa Video Clip ikimuonyesha Haruna Lipumba akifichua Siri za 2010 Msikitini
Na wao wakashusha video ya lwakatare akipanga ugaidi na kulisha waandishi sumu
 
Kwahiyo unafurahi mwenzako kuwekwa ndani, Mwigulu kumbuka any thing goes around comes around, you never know the next day Lwakatare is going to be your boss, labda omba CCM itawale hadi utakapokuwa kwenye 80's.

Anadhani Mungu anachezewa hovyo hovyo.Mungu atajibu maombi siku si nyingi.Mungu ameahidi kuwajibu wanaomlilia katika shida.Ndipo atakapojua Mungu wa Abraham Isaka na Yakobo ndiye Mungu wa kweli..Na yeye anamwabudu Baali kwani ndiye anayefundisha kuwatenda watu unyama kama alivyomtenda Lwakatare.
 
Chadema ni janga kwa taifa letu...tuikemee kama tumkemeavyo shetani kwenye maombi yetu

Siku zenu zinahesabika CCM sasa hivi wananchi wa rika zote wanawakataa.Wazee wengi ninaoishi nao hapa mtaani ambao walikuwa wanaCCM waaminifu na wapiga kura wenu tegemeo wote wamekikimbia Chama chenu kwasababu ya Wendawazimu waliokivamia Chama chenu kama akina Mwiguru.2015 CCM mtakuwa na hali mbaya sana kuliko mnavyo danganyana.
 
Mwigulu anawanyima raha chadema na hawalali wakimuwaza kwa hiyo lazima wamzushie mambo mengi ili kumchafua kwa vile amekuwa akiwasumbua sana kuanzia bungeni hata nje ya bunge,na tanzania daima kuandika uongo ni jadi yao.
Walikuwepo kina Makamba wakaiacha Chadema akaja Mukama ameiacha Mwigulu mtoto wa juzi ameikuta ataiacha soon.
 
11.jpg
 
Siku zenu zinahesabika CCM sasa hivi wananchi wa rika zote wanawakataa.Wazee wengi ninaoishi nao hapa mtaani ambao walikuwa wanaCCM waaminifu na wapiga kura wenu tegemeo wote wamekikimbia Chama chenu kwasababu ya Wendawazimu waliokivamia Chama chenu kama akina Mwiguru.2015 CCM mtakuwa na hali mbaya sana kuliko mnavyo danganyana.

Karibu kwenye mkutano wetu wa hadhara wa kumnadi mgombea wetu katika kata ya kaloleni Arusha uone tunavyokubalika ccm oyeeeeeee
 
Kwahiyo unafurahi mwenzako kuwekwa ndani, Mwigulu kumbuka any thing goes around comes around, you never know the next day Lwakatare is going to be your boss, labda omba CCM itawale hadi utakapokuwa kwenye 80's.
Lwakatare ni haki yake kukaa ndani make ni mharifu,nyanya ikioza lazima uitenge na zingine ndivyo ilivyofanyika kwa lwakatare.
 
Back
Top Bottom