Watanzania wamechoka kuzungusha mikono
Sahihi kabisa Mkuu. Watasubiri sana hawa the misukulez
Kona gani ni CCM tu wakati watu wanatamani uchaguzi uitishwe hata sasa hivi wamtoe huyu mnae mwabudu,,,hapa kazi tu ni tusi huku mtaani weweWaambie, sasa kila kona ni CCM CCM CCM tu!
Kukosekana haki ndio kunazalisha magaidi. Nyakati hizo hutakuwa na comments za namna hii, utakuwa unalalama 'mimi mjane blah blah blah'Ahsante kwa picha. Watu wamehamasika. Ndo faida za kuwa chama dola
Ndio maana viongozi wako wanakutumia katika kuchafua wanachama wenzako tu pole sana mkuu vipi ugomvi wenu Na hapi umeshamaliza maana luhwavi bado jupo ofisiniAhsante kwa picha. Watu wamehamasika. Ndo faida za kuwa chama dola
Hakuna watu wa ajabu kama ninyi wazungusha mikono MNA akili ndogo sanaUnasumbuka kumtafuta mtu au unahitajika kujibu hoja zake?
Kweli CCM wamejaa zero brain