Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 921
- 296
Shule nyingi za private kama sio zote zinachangisha michango ya majengo na madawati je hili ni sahihi? Maana ile ni shule ya mtu ambaye siku yoyote anaweza kubadilisha matumizi toka shule kuwa kitu kingine chochote sasa anapokuwa anachangisha hiyo michango hamuoni kuwa ni maonezi ?
Kama ni shule za serikali tunajua itaendelea hata matumizi yakibadilika bado ni for public benefits, nijuzeni mnaojua.
Pili, shule nyingi hazijasajiliwa na wanabaki kuhamisha watoto mitihani ikifika kwenda kufanyia shule zingine na sababu zinakuwa hawajatimiza vigezo, hili nalo mnalionaje? Ni sahihi ? kama mtu hajatimiza vigezo si asitoe ile huduma pale mlipomkataza kutoa huduma?
Asante.
Kama ni shule za serikali tunajua itaendelea hata matumizi yakibadilika bado ni for public benefits, nijuzeni mnaojua.
Pili, shule nyingi hazijasajiliwa na wanabaki kuhamisha watoto mitihani ikifika kwenda kufanyia shule zingine na sababu zinakuwa hawajatimiza vigezo, hili nalo mnalionaje? Ni sahihi ? kama mtu hajatimiza vigezo si asitoe ile huduma pale mlipomkataza kutoa huduma?
Asante.