CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Mbona kajining'iniza kama yuko msalabani? Si sawa
Unamaanisha YO YO :becky::becky:
huyu mbona anafanana na member mmoja wa JF aliyebadilisha uraia akawa mkenya?
maria umenunua bifu
View attachment 31643
Haya bwana!
Dah!..kwato hizoo!!
Ila ana uhuru wa kufanya hivyoi,tusitumie dini za wageni kuhukumu watanzania wenzetu,thats primitive.
Dini za kwenu wenyeji zinaruhusu mwanaume kukamuliwa?
huyu mbona anafanana na member mmoja wa JF aliyebadilisha uraia akawa mkenya?