Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,155
- 441
Sijashuhudia....................
Bado anaishi????maana picha hii ni ya 2011
na umaarufu wake bado ni ule ule wa ulipompiga hii picha?????
kaacha hii mambo ya kugongwa huyu jamaa,kaokoka na kuoa kabisa
Dah!..kwato hizoo!!
Ila ana uhuru wa kufanya hivyoi,tusitumie dini za wageni kuhukumu watanzania wenzetu,thats primitive.
Sikujua kuwa brother kaka anakung'utwa duhUnamaanisha YO YO :becky::becky:
kashaoa tayari,Kaacha na kasema anategemea kuoa, kaokoka.