meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
watazania mnaopenda kuona haki inatendeka mmtakubaliana na mimi kuwa kuna umuhimu wa msajili wa vyama ndg john Tendwa anatakiwa kujiuzulu mara moja.
Kauli zake mbalimbali katika chaguzi mbalimbali zimeonyesha kuwa ni adui namba moja wa haki.
Mara nyingi amesikika akitoa kauli kandamizi kwa vyama vya upinzani.
Pia ameonekana ni mtu asiyejua wigo wa majukumu yake.
Mara nyingi anaingilia majukumu ya tume ya uchaguzi,vyombo vya usalama au mamlaka za kimila kama tulivyoona huko arumeru mashariki.
Wakati umefika kwa wale wote wanaotumia vyeo vyao kukandamiza haki wawajibike au wakutane na tsunami la nguvu ya umma.
Kauli zake mbalimbali katika chaguzi mbalimbali zimeonyesha kuwa ni adui namba moja wa haki.
Mara nyingi amesikika akitoa kauli kandamizi kwa vyama vya upinzani.
Pia ameonekana ni mtu asiyejua wigo wa majukumu yake.
Mara nyingi anaingilia majukumu ya tume ya uchaguzi,vyombo vya usalama au mamlaka za kimila kama tulivyoona huko arumeru mashariki.
Wakati umefika kwa wale wote wanaotumia vyeo vyao kukandamiza haki wawajibike au wakutane na tsunami la nguvu ya umma.