Shimo gani linalokukera?

Kuna shimo lipo hii barabara wanayotengeneza kigogo wanaita sijui randa bar kitu kama hicho hilo shimo ni balaa halafu linamaji kiherehere chote cha kukwepa foleni ya morogoro kiliniisha maana hapana na haka kavitz kangu nusu kazame hapo
mar ya mwisho kupita hiyo bara bara ni mwaka 2006 nakumbuka kulikuwa na mashimo hiyo mitaa, hivi bado yapo tu? maghufuli anafanya nini sasa?
 
We we nae unakuwa kama Thomaso picha za nini sasa kwani wewe hutumii hizo barabara agrrrrrrrrrr

Tatizo lako hujanielewa laiti ungenielewa usingeongea hivyo, soma vizuri ukielewa utajua namaanisha nini, acha kukurupuka utadhani unatoka usingizini!
 
mar ya mwisho kupita hiyo bara bara ni mwaka 2006 nakumbuka kulikuwa na mashimo hiyo mitaa, hivi bado yapo tu? maghufuli anafanya nini sasa?


Shhhhhhhhhhhhhhhhhh usiseme hivyo utashukiwa na watetezi wake watasema anachapa sana kazi ikiwa pamoja hii kero ya mahandaki kwenye barabara takriban zote za dar es salaam na vitongoji vyake.

Mie nashindwa kuelewa wanayaacha ili yalete ajali au ili yaongezeke ukubwa gharama iwe kubwa au yanaachwa ili yapunguze speed za magari au yalete foleni!
 
mar ya mwisho kupita hiyo bara bara ni mwaka 2006 nakumbuka kulikuwa na mashimo hiyo mitaa, hivi bado yapo tu? maghufuli anafanya nini sasa?

Yaani hata bara barabara za jiji nazowaziri .Sasa watu kama meya na mkurugenzi wa jiji na manispaa kazi zao nini. Tusije kulaumu wanasiasa tuuuuu ukatuka uzembe wa hiyo bara bara ni moja ya majukumu yako kiofisi kumbe hujui. teh teh teh teh
 
Mohamed leo umenipata,

Ulivyosema "SHIMO" mwenyewe nikaingia kwenye mambo ya wakubwa.

BTW tumekumisi kwenye jukwaa la malenga wetu kule.
 
aisee kuna shimo lipo hapo rozana buguruni barabara ya uhuru.. aaah lile noma mazee utazani hamana serikali kabisa
 
Habari za asubuhi wapendwa,

Leo nimeamua kuja na swali hili kutaka kujua shimo gani la barabarani linalokukera. Mimi binafsi nakerwa sana na shimo lililopo makutano ya barabara ya bibi titi mohamed na morogoro na lile kwenye barabara ya united nation kwenye kona ya kuingia muhimbili.

Nasdhani kwa mashimo yaliyopo kwenye barabara zetu hakuna haja ya kuweka matuta kwani yanasaidia kupunguza speed kwa kiasi kikubwa na kuchangia foleni kwa wale wasiopenda kuwahi kurudi majumbani hii ni faraja kwao.

Kiongozi,
Ungebadili title na kuondoa neno SHIMO na badala yake weka SHIMO LA BARABARANI.....mashimo yako aina nyinga kaka
 
pothole_250w.jpg
 
Kuna hili shimo sijui tuite handaki? Lipo hapa mtaa wa upanga karibu na haidar plaza yaani ni nouma unaweza hata ukajificha usionekane. Hivi wahusika wa kufanyia ukarabati wameenda likizo?

Hilo lina miaka mitano......................duh kumbe bado lipo. noma kweli
 
Kiongozi,
Ungebadili title na kuondoa neno SHIMO na badala yake weka SHIMO LA BARABARANI.....mashimo yako aina nyinga kaka
Hapa nakubaliana na wewe manaake nilipoiona taito mara moyo ulishtuka, kumbe ana maana ya shimo la bararabarani. Dah!
 
Back
Top Bottom