Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Barabara ya Uhuru kwenye makutano ya mtaa wa Likoma eneo la Kariakoo pembeni ya Benki ya Akiba kuna shimo kubwa lililoachwa na wajenzi wa Barabara ambapo ni zaidi ya mwaka sasa.
Shimo hili ni hatarishi sana kwakuwa hata wauza nguo za kushikilia mikononi wanalizunguka shimo hilo muda wote ikiwa ni pamoja na wapita njia kuelekea madukani.
Yawezekana Serikali yetu inayojari sana watu wake inangojea kutuma salamu za pole kwanza ndipo lizibwe!
Shimo hili ni hatarishi sana kwakuwa hata wauza nguo za kushikilia mikononi wanalizunguka shimo hilo muda wote ikiwa ni pamoja na wapita njia kuelekea madukani.
Yawezekana Serikali yetu inayojari sana watu wake inangojea kutuma salamu za pole kwanza ndipo lizibwe!