Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,301
Habari za asubuhi wapendwa,
Leo nimeamua kuja na swali hili kutaka kujua shimo gani la barabarani linalokukera. Mimi binafsi nakerwa sana na shimo lililopo makutano ya barabara ya bibi titi mohamed na morogoro na lile kwenye barabara ya united nation kwenye kona ya kuingia muhimbili.
Nasdhani kwa mashimo yaliyopo kwenye barabara zetu hakuna haja ya kuweka matuta kwani yanasaidia kupunguza speed kwa kiasi kikubwa na kuchangia foleni kwa wale wasiopenda kuwahi kurudi majumbani hii ni faraja kwao.
Leo nimeamua kuja na swali hili kutaka kujua shimo gani la barabarani linalokukera. Mimi binafsi nakerwa sana na shimo lililopo makutano ya barabara ya bibi titi mohamed na morogoro na lile kwenye barabara ya united nation kwenye kona ya kuingia muhimbili.
Nasdhani kwa mashimo yaliyopo kwenye barabara zetu hakuna haja ya kuweka matuta kwani yanasaidia kupunguza speed kwa kiasi kikubwa na kuchangia foleni kwa wale wasiopenda kuwahi kurudi majumbani hii ni faraja kwao.