Ukisikia habari za uongo na udaku ndio hizi.
Mbunge wa CHADEMA akaingia kwenye kikao cha Nationa Executive Committe ya Chama Cha Mapinduzi umeanza lini utaratibu huo? Na akaongea kama nani??? Magazeti yetu mbona yamekaa kidaku daku hivi???
Of course Shibuda si lolote wala chochote.
Chokochoko hii ya Shibuda si bure! kuna jambo. CDM wanyamaze, akiona kimya atatafuta kingine. Kuna wakati atabogi step tu.
Mkuu fuatilia mambo usikimbilie mambo. Shibuda aliingia kwenye NEC ya CCM akiwa kama mjumbe wa APRM iliyokuwa ikiwasilisha mada kwenye kikao hicho.
Ukisikia habari za uongo na udaku ndio hizi.
Mbunge wa CHADEMA akaingia kwenye kikao cha Nationa Executive Committe ya Chama Cha Mapinduzi umeanza lini utaratibu huo? Na akaongea kama nani??? Magazeti yetu mbona yamekaa kidaku daku hivi???