elimukwanza
Senior Member
- Dec 27, 2010
- 168
- 23
Mbunge shibuda akiendeleza kile kinachoitwa Vijembe,mipasho ya bunge la sasa huku akitumia misamiati ya kiswahili cha pwani kumponda kiongozi wa CHADEMA na wanachadema alishangiliwa sana na wabunge wa CCM hadi mwisho bunge kugeuka ushabiki na kuimba CCM CCM CCM.Na alifika mbali zaidi na eti kuwaomba pole wananchi wa zanzibar eti kwa waliyoyapata ya kutengwa kutokana na maamuzi waliyofanya,akuwa wazi zaidi ila alimaanisha CDM kutoishirikisha CUF kutokana na kuunda serikali.
Ilinisikitisha sana huu unafiki na uzandiki mbona kama wanampenda walimchinjia baharini kwenye NEC,Shibuda amesahau au katumwa? maana sikuona kachangia hoja yeyote kuhusu Hotuba ya Rais zaidi ya kumponda(majungu) kiongozi wa CDM.leo pale bungeni kama unataka usifiwe wewe iponde CDM unawezwa ukabebwa
CDM msikate tamaa ila kuweni waangalifu kupokea makada mitumba toka CCM ni bora mkawekeza nguvu zenu kwa vijana wapya ambao hawaijui CCM achaneni na Mitumba ya CCM mlenge wagombea vijana na muutangaze mwaka 2015 kuwa wa vijana 70% ya wagombea wenu wawe vijana wasomi
Nawasilisha
Ilinisikitisha sana huu unafiki na uzandiki mbona kama wanampenda walimchinjia baharini kwenye NEC,Shibuda amesahau au katumwa? maana sikuona kachangia hoja yeyote kuhusu Hotuba ya Rais zaidi ya kumponda(majungu) kiongozi wa CDM.leo pale bungeni kama unataka usifiwe wewe iponde CDM unawezwa ukabebwa
CDM msikate tamaa ila kuweni waangalifu kupokea makada mitumba toka CCM ni bora mkawekeza nguvu zenu kwa vijana wapya ambao hawaijui CCM achaneni na Mitumba ya CCM mlenge wagombea vijana na muutangaze mwaka 2015 kuwa wa vijana 70% ya wagombea wenu wawe vijana wasomi
Nawasilisha