Mkuu sawa unaruhusiwa ila lazma kule bungeni wabunge wanaulizwa je mnahafiki tuujadili?sasa shida kwa wabunge wafuata upepo a.k.a ndiyo mzee wanaweza kataa. Mfno mdgo hyo mikataba ya madini mingine ilipitiswa bunge la 1995- 2000 wapinzani wanapiga kelele bt wabunge wa ccm wanawazomea na kuupitisha ile leo ndo wanajifnya wala na kibaya zaidi upinzani ndo ulikuwa unaanza kuchipua
Mkuu hapo umenena na hilo ndo tatizo la bunge letu ambalo uchama umejaa mle ndani na wakiwa mle ndani wanaongea sana kuonyesha kuwa wanatetea wananchi ila hakuna kitu ikifika kupitisha miswada ya kuwatetea wananchi wanaufyata