FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,347
- 41,248
McCarthy,
Umequote post yangu inayohusu ndoa za kimila na sio presumption of marriage. Anyway presumption of marriage ipo kisheria, na si utashi wako, wangu, au utashi wa mahakama. NI SHERIA ! The law is the law, hadi bunge litakapoibadilisha. Na sheria hiyo ipo wazi, 1.) Wawe wameishi PAMOJA (paa moja) kwa muda wa miaka miwili (siku 730) au zaidi.
Unaishije pamoja na mtu aliye marekani wakati wewe upo Sengerema, na katika hizo siku 730 mmeona labda kwa siku moja au mbili tu? Huyo mtu utakuwa umeishi nae kwa siku 730 kama sheria inavyotaka? Kwa kigezo cha simu na teknolojia unafahamu kwamba kuna watu watakuwa na wake 100 hadi 200? Sasa kwa mkristu kuwa na wake 100 au 200 si ni kinyume cha sheria? Sasa sheria inawezaje kujipinga yenyewe, thats illegal!, au kuna sheria mpya mahakama imejitungia? Kwamba mwaka 1971 kulikuwa hakuna barua?
Mtu alikuwa hawezi kumwandikia barua mpenzi wake aliye marekani akaambatanisha na picha, hapakuwa na simu za mezani, toka 1940's watu wanapigiana simu itakuwa 1971?! Hoja dhaifu sana hiyo na haina mashiko, na kama kuna mahakama iliamua hivyo basi kata rufaa na uwashinde kwa hoja, tena ukizingatia ushahidi wa kielektroniki huwa haukubalika mahakamani kirahisi, maana mtu anaweza akatengeneza kwa photoshop screenshoot ya mawasiliano ya watu wawili nanikaonekana yalikuwa ni mawasiliano halisi kabisa..., imagine hata video ya Gwajima aliweza kuikana, itakuwa text messages na voice call?!
2.) Wawe wameishi kama mume na mke. Mahakamani kinachohitajika ni udhibitisho. Hao majirani wanatakiwa wadhibitishe kwamba wahusika wameishi pamoja kwa siku 730 na si 729 au chini ya hapo, that is the law, how? Hiyo ni kazi yao kudhibitisha sio ya mahakama. Pia wadhibitishe kwamba wahusika waliishi kama mume na mke sio kama kaka na dada au mwenye nyumba na house girl wake, how? Hiyo sio kazi ya mahakama, ni kazi ya washuhuda kudhibitisha. Sheria ni sheria hadi bunge itakapoibadilisha.
Soma post yangu na 7 kwa ufafanuzi zaidi.
Umequote post yangu inayohusu ndoa za kimila na sio presumption of marriage. Anyway presumption of marriage ipo kisheria, na si utashi wako, wangu, au utashi wa mahakama. NI SHERIA ! The law is the law, hadi bunge litakapoibadilisha. Na sheria hiyo ipo wazi, 1.) Wawe wameishi PAMOJA (paa moja) kwa muda wa miaka miwili (siku 730) au zaidi.
Unaishije pamoja na mtu aliye marekani wakati wewe upo Sengerema, na katika hizo siku 730 mmeona labda kwa siku moja au mbili tu? Huyo mtu utakuwa umeishi nae kwa siku 730 kama sheria inavyotaka? Kwa kigezo cha simu na teknolojia unafahamu kwamba kuna watu watakuwa na wake 100 hadi 200? Sasa kwa mkristu kuwa na wake 100 au 200 si ni kinyume cha sheria? Sasa sheria inawezaje kujipinga yenyewe, thats illegal!, au kuna sheria mpya mahakama imejitungia? Kwamba mwaka 1971 kulikuwa hakuna barua?
Mtu alikuwa hawezi kumwandikia barua mpenzi wake aliye marekani akaambatanisha na picha, hapakuwa na simu za mezani, toka 1940's watu wanapigiana simu itakuwa 1971?! Hoja dhaifu sana hiyo na haina mashiko, na kama kuna mahakama iliamua hivyo basi kata rufaa na uwashinde kwa hoja, tena ukizingatia ushahidi wa kielektroniki huwa haukubalika mahakamani kirahisi, maana mtu anaweza akatengeneza kwa photoshop screenshoot ya mawasiliano ya watu wawili nanikaonekana yalikuwa ni mawasiliano halisi kabisa..., imagine hata video ya Gwajima aliweza kuikana, itakuwa text messages na voice call?!
2.) Wawe wameishi kama mume na mke. Mahakamani kinachohitajika ni udhibitisho. Hao majirani wanatakiwa wadhibitishe kwamba wahusika wameishi pamoja kwa siku 730 na si 729 au chini ya hapo, that is the law, how? Hiyo ni kazi yao kudhibitisha sio ya mahakama. Pia wadhibitishe kwamba wahusika waliishi kama mume na mke sio kama kaka na dada au mwenye nyumba na house girl wake, how? Hiyo sio kazi ya mahakama, ni kazi ya washuhuda kudhibitisha. Sheria ni sheria hadi bunge itakapoibadilisha.
Soma post yangu na 7 kwa ufafanuzi zaidi.