Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Nipatie kamuda hadi kesho au thereafter!Ok mfano nimeenda soth africa na nikaoa huko, nikaja nae tukaishi Tanzania, mali zangu zipo Tanzania na South Africa.
Nimemuoa nikiwa na mali ya tsh milioni kumi.
Namuacha nikiwa na mali ya tsh bilioni kumi.
Alikuwa housewife.
Tukiachana hapi inakuwaje?