Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Mwizi huyu kaiba simu wananchi wenye hasira wanamwadhibu!
Akaona ooohh ohhh isiwe taabu akaanza mdogo mdogo! Check jamaa aliye na sare ya CCM anakisu tayari kumchoma jamaa kwenye mata.ko yake.
Jamaa alikimbia hadi kituo cha polisi akiwa ameishachomwa Kisu mata.koni.
Hivi wale wezi wa EPA na mafisadi wa KiCCM kwanini tusiwaadhibu kama huyu kijana?
Picha na Mdau Mamapipiro:
Mch Masa