Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
hebu fikiria gaalfriend wako huyooo aende kwa bro wako akaombe kugongwa. unajisikiaje ukijajua?
Sooo hilo huyo shemeji yako anataka kukutafutia hapo. Duuuuh una mchumba halafu upo kwa shemeji yako niaje hapo?
Nashukuru kwa Ushauri,Ijapokuwa Shemeji yangu yule mim siishi nae,ila amezoea sana kuja kwangu na sehemu kubwa ya pesa anayopewa na kakayangu ananinunulia zawadi na kuniletea kwangu,na kuniambia cku izi kakayangu nisawa na dada,eti nikimkataa atakunyw sum.
hebu fikiria gaalfriend wako huyooo aende kwa bro wako akaombe kugongwa. unajisikiaje ukijajua?
Habari wana Jf,Ndugu zangu mim ni kijana wa miaka 23 nina kakayangu ameoa na ana watoto wawili,chakushangaza mke wake ananitaka kimapenzi,akisema kakayangu cku izi hana nguvu za kiume anazaidi ya mwaka hawajakutana, namim namchumbawangu,nifanyeje?
Akimtishia kwamba atamwambia kaka yake ndio itakuwa mbaya zaidi. Je, mama akiamua kugeuza stori kwa mume wake unafikiri nani ataaminika zaidi? Hapa dogo anatakiwa aendelee kugonga kimyakimya tu...Jamani ngumu kuzungumza na kakake kitu hicho directly ikiwa yeye ni mdogo kwake. Lakini lazima suluhisho lipatikane maana asipommega yeye atamegwa nje. Its sensive issue inabidi liongelewe na busara, inaweza kuwa ni fix za huyo mama, amtishie kumwambia kama atamwambia mumewe aone reactions atakayoitoa.
Habari wana Jf,Ndugu zangu mim ni kijana wa miaka 23 nina kakayangu ameoa na ana watoto wawili,chakushangaza mke wake ananitaka kimapenzi,akisema kakayangu cku izi hana nguvu za kiume anazaidi ya mwaka hawajakutana, namim namchumbawangu,nifanyeje?