Umri wake ni mkubwa,kwani uzee ni ugonjwa.Jamani tuangalie na umri wa huyu babu!!
Bado tunasubiri
Du!Hajadedi tu?
Unachopanda ndo unachovuna. Amemdharau Mungu kwa kusema yeye ndo mwenye kutoa ulinzi kwa wanadamu awapendao. Sasa Mungu anamuonyesha kwamba yeye(Mungu ) is above all, na hakuna mwanadamu atakaye uchukua utukufu wa Mungu.
Source: TBC1 Habari ya saa 2
Yuko kitandani anaumwa.... TBC wameonyesha kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
ANACHEZA NA MUNGU HUYU!!!!!!!!!
Source: TBC1 Habari ya saa 2
Yuko kitandani anaumwa.... TBC wameonyesha kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
ANACHEZA NA MUNGU HUYU!!!!!!!!!
Tuna mzungumzia kwa sababu ni mlinzi mkuu wa rais wetu anae maliza muda wake..Mkuu Ngaramu uliyeanzisha hii Topic unamzungumzia sheikh Yahya Hussein kuwa anaumwa ili iweje humu ndani ya hii Jamii Forums? Hamtafuti Topic za maana za kuzungumza mnamzungumzia Mtu matatizo yake jamani?.
hako kajaamaa ni kanajimu feki!! tokea mimi mdogo nakasikia tu; kamemdanganya JK kwa kumpa pete ya majini na kuijdai anweza kulindwa nayo, sasa yeye mwenyewe vipi? majini si kitu mbele ya nguvu za MUNGU! Mwenzie anayemtegemea (JK) majini yalishindwa kumuokoa asianguke 2005 wakati wa kampeni, yaklishindwa kumuokoa pale Jangwani na alipokutana na nguvu za ROHO MTAKATIFU kwenye mkutano wa Maaskofu kule kanda ya ziwa.....
Kama kweli majini yapo na yanafanya kazi kwa nini asiyaite hapo alipo yamnyanyue?
Haihitaji utabiri hapa, tunamuombea heri lakini mimi naona ndiyo lala salama.....
Mungu yupi tena? Maana kuna miungu kibao?
Halafu mkiambiwa siasa zenu zime-base kwenye dini mnakuwa wakali utafikiri mmelishwa pilipili hoho.