Akamatwe kwa uchochezi au husikia serekali ya Zenj inamtafuta kwa uchochezi,binadam hatufanani hata angekuwa Askofu wapo ambao wangesema hivyo ila wewe unahukumu chadema wakati haohao ccm walinuia kumua,tumia akil kufikiri,nilidhan ungewashauri wajiunge Cuf nashangaa unawatumbukiza wenzako kwenye mdomo wa mamba...Huo ujinga wenu tumeshauzoea. Hivi ulitaka Ponda akamatwe kwa lipi? Mimi sio kuwa naunga mkono kila harakati ya Ponda. Ila naumia kwakuwa ni muislamu/binadamu mwenzangu. Iweje mwenzako ameumia huku unatangaza bora angeuliwa,mara unasema unaenda baa kula kitimoto?.
Policcm
Mijitu ya namna hii ni migumu kufa.....Tabia zake za uchochezi zinanikera sana jana nilishangilia nikijua police walishamaliza kazi kumbe nao ni Bungila tu au hawakuahidiwa dau nono?
Nimechukia sn km hajafa
Hivi niulize tu huyu mtu huwa anatetea nini haki za Waislam? Haki za Raia wote au Nini maana najiulizaga ninini hasa na uzee wake.
Ni YEHOVA Mungu wa wote wenye mwili, Mfalme wa wafalme.
Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wa Ibrahim. Muumbaji wa Ulimwengu alimtoa Kristo Mwana wake wa pekee ili aje atuokoe wenye dhambi mimi na wewe.
ccm chama cha mauwaji, chama cha mashetani..cc shangazi, deo, ccm lumumba
kwanini umtaje slaa?jibu likusaidie nini mtu kama wewe uzee sio kitu hata slaa mzee bado ana mawazo ya urais
Ilifyatuliwa na mtu mpenda amani.
kupigwa risasi ni mapenzi ya Mungu?Vipi muulizeni ule mkakati wa kupinga vikundi vya ulinzi jwenye misikiti bado anaupinga? Au ameona umuhimu wake, Mungu amtendee kadri amavyostahiki