Waliompiga risasi Shekhe Ponda wako chini ya chama gani na wanafanya kwa maagizo ya nani..,We Ritz u're a silent killer,unaua waislam wenzako kiunafki...Naona povu limekutoka kuona imetajwa Chadema alichosema HUSSEIN ni ukweli mtupu.
View attachment 106642
ponda akiwa hospitalini
Weka ushahidi ni chama cha wakristo au povu linakutoka tu,kuna waislam humu hawana chama na hawamkubali Ponda na harakati zake,hapo alipo anawabagua waislam wenye msimamo wastani sembuse wakristu,we kufa na ufinyu wa akili yako ila chadema ni mali ya Watanzania wenye iman na wasio na imani..,uzuri hata Askofu au Padri akiboronga anapewa kubwa tu ili ajue kazi yake ni nini,we kufa na Ponda ndio mungu wako..,nasema Polis walipaswa kumkamata ila sio kumpiga risasi na pia haya yote kayatafuta mwenyewe,hicho anachokitafuta ni kazi ya shetani na sio Mungu...
Tbccm wanasema hakuna tukio kama hilo ni uzushi kweli iko siku tutaivamia hichokituo na kukichoma moto hakina faida yoyote kwa watanzania..
Waumini wakikristo walioko JF wangekua na huu mtizamo, ingesaidia sana kupunguza tatizo la chuki za kidini.
Habari hii ni kweli au ni uzushi? Kama ni kweli I think for the first tym nitakuwa against Mwema
Hongera kwa kauli ya bwana Mtatiro na si ya CUF
we mla nguruwe,,....unajiona utaishi milele?[/QUOT
kufa kila mtu atakufa-ila yeye anatakiwa aanze kufa-
Ritz soma hapo juu...,hahahaaaaa ni maneno ya Shekhee Ponda..Mkuu Ritz sheikh Ponda yupo against ccm, soma maneno yake ktk mhadhara wa jana morogoro, source: Mwananchi
"Katika kongamano lililofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege, Sheikh Ponda alisema kuwa matatizo ya kunyanyaswa na kuteswa kwa Waislam yamekuwa yakichangiwa na Serikali iliyoko madarakani na kuwataka Waislamu kuhakikisha kuwa katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2015 wanachagua Serikali mpya yenye kujali haki sawa."
Kama sheick Ponda ni gaidi,kumtetea inaleta mashaka.