Jimmy Santadio
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 466
- 133
Nimechukia sn km hajafa
wangem-mwangosi tuu, au vipi?
Nimechukia sn km hajafa
Bado ntaendelea kukuita Mr. upeo mdogo!
labda mimi nikufahamishe kitu kimoja, mungu katuumba kisha akatupa na akiri ya kuchanganua lipi baya lipi zuri, hivyo mimi sikuzaliwa muislam ila nimekuwa muislam baada kufanya utafiti baina ya dini zote na nikagundua kuwa uislam ndio njia sahihi na si dini nyingineyo. kumbuka hautakufa na babu au bibi yako na kila mtu atadhibiwa kulingana na madhambi yake. umeelewa sasa wewe kilaza.
Nimesikitika sana baadhi ya post humu. Hatujui adui yetu ni nani. Hakika ninawaambia damu ya sheikh Ponda na wengine Kama Dr Ulimboka, Mwangosi, na wengi wanalioteswa na hii serikali dhalimu haitopotea bure. Watanzania tuwe pamoja kulaani haya bila kuweka itikadi, na dharau kwa dini nyingine. Inaonyesha mipango ya kuumuua sheikh Ponda Ina baraka za serikali. Siwezi shangaa kusikia Jakaya anakwenda mpa pole Sheikh Issa Ponda. Sana sana sheikh Ponda.
MoD pitieni hii thread kuna ujinga mwingi haustahili kuwepo JF
Ret Rev Masanilo
tuache masihala tanzania sasa si eneo salama kwa maisha ya mwanadamu
Kinakuuma nini? au ndio wewe muhusika mbona umekazana polisi polisi.
Yule polisi atakuwa nae ni mfuasi wake kwani alikosea shabaha ningelikuwa ni mimi ningeliweka mguu mmoja mbele AK47 kile chuma naweka upande wa bega, nakata pumzi, nafunga jicho moja naoanisha na target(kale kachuma ka mbele) nafungua usalama napiga.
Nani aanze waislamu au wakristo?Waumini wakikristo walioko JF wangekua na huu mtizamo, ingesaidia sana kupunguza tatizo la chuki za kidini.
Masanilo ona mwingine huyu hawa ninawasiwasi nao wametumwa kuanze kushambuliana kwa imani zetu..kumbe shetani yetu ni CCM
Waumini wakikristo walioko JF wangekua na huu mtizamo, ingesaidia sana kupunguza tatizo la chuki za kidini.
Waumini wakikristo walioko JF wangekua na huu mtizamo, ingesaidia sana kupunguza tatizo la chuki za kidini.
acha afie mbali hana adabu huyu pimbi. dini aiendeshwi kwa mtindo aliouanzisha yeye kuchochea watu wavamie makanisa,anaamasisha watu waingie mtaani kwa mapanga na mashoka ili wafanye fujo.Huyu sio kiongozi wa dini anaigiza mambo ya Somalia. Afahamu hii ni Tanzania na ni nchi ya wastarabu,kama anaweza kutafuta nchi nyingine ni. bora aondoke mapema vinginevyo RISASI ZITATUA MWILINI MWAKE KILA SIKU.