Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Japo namchukia Issa Ponda sifurahii hata kidogo kama amepigwa risasi na polisi. Huyu mtu ilitosha kumuweka lupango kwani alipatikana na kosa la uchochezi ila dola ikamuachia na yeye kuendelea na kile asichoweza kuacha..."uchochezi wa kidini'
Tuwekane sawa mkuu,shehe ponda amefanya uchochezi wa kidini wa namna gani?